Askofu Gwajima atunukiwa PhD (Doctor of Philosophy)

Bachelor kwa bongo inatosha kabisa vinginevyo unatafuta kuchanganyikiwa.
Maisha sio vyeti inategemea unataka kuwa nani maisha,maisha ni elimu nyingine kabisa ila ili upate balance ni vizuri upate elimu tatu ya dini,ya darasani na ya mitaani( inaitwa elimu halisi kupitia matatizo, shida,na uzoefu mbali mbali).
 
Maisha sio vyeti inategemea unataka kuwa nani maisha,maisha ni elimu nyingine kabisa ila ili upate balance ni vizuri upate elimu tatu ya dini,ya darasani na ya mitaani( inaitwa elimu halisi kupitia matatizo, shida,na uzoefu mbali mbali).
Inategemea unataka kufanya nini? kama unataka kuwa mtumishi wa umma lazima usome sana ili masilahi yako yawe mazuri, kwa sisi wa kitaa tunapata elimu huku huku.
 
wenzetu wanafanya vitu vinavyoonekana, sisi tumekazania kufanya mambo ya aibu aibu tu.. !!tunang'ang'ania mambo ya kipuuzi yasiyutupatia ugali.. Hongereni kwa kweli.. mahakama ya Kadhi italeta nini!!!??.. badala ya kujikita kwenye elimu, Utunzi wa vitabu, tunang'ang'ania mambo ya aibu.. ai inatia Khisiran sana..
We jamaa utakua umerogwa sio bure... Eti ramadhan salumu wakat hujui ata mahakama ya kadhi ni nini?
 
Leo majira ya saa kumi jioni maeneo ya ubungo katika ukumbi wa Blue Pearl..askofu Josephat Gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima, ametunukiwa nishani ya "Doctor of philosopy in Theology...PhD", ambayo amekuwa akiisomea kupitia chuo cha Omega Global University chenye makao makuu yake South Africa...nilishuhudia leo umati wa wakazi wa DSM wakielekea na kutoka pale blue pearl Hotel ubungo plaza..
shikamoo.. Bishop,Dr. J.Gwajima.:smile-big:
Kuna rafiki yangu mmoja ana phd of bilhazias
 
Maisha sio vyeti inategemea unataka kuwa nani maisha,maisha ni elimu nyingine kabisa ila ili upate balance ni vizuri upate elimu tatu ya dini,ya darasani na ya mitaani( inaitwa elimu halisi kupitia matatizo, shida,na uzoefu mbali mbali).
Issue ya BASHITE imefanya taifa hili lisiwe na haja ya vyeti tena. Na tusiwasikie mkitajataja watumishi sijui wahakikiwe sijui wapeleke vyeti Mara tatutatu, kuanzia sasa feki zote ni halali maana maisha siyo vyeti.
 
Kwanza afikishwe mahakamani kujibu shutuma za kuua albino. Huyu Josephat Gwajima anasadikiwa kuwa ni mteja wa viungo vya albino.
Utampelekaje mahakaman huna ushahid?! Au hufaham mahakama znatoa hukum kwa ushahid uliojitosheleza??
 
amen amen amen!ila hatijaua kama kabla ya kusoma hiyo PhD aliwahi kusoma hata degree??

Tisa kumi, cheti cha form 4... haki ya nani changu nimekitafuta mpaka nikakiona juzi, hata cha chuo sioni kama kina thaman. cha form 4 ndo kila kitu.
 
Hivyo vitabu alivyoandika hujaviona??
Kavisome na basi upate majibu.
Acha dharau za kijinga!!
Aliyekuambia kuandika vitabu kuna kupa sifa ya kuwa na PH D ni nani....? Hebu weka Elimu yake ya Form 4, na ufaulu wake, kisha tupe Elimu ya Advance, kisha leta Elimu ya Chuo, (Hapo ufaulu wa Degree ya kwanza ni muhimu sana)
Kisha leta Masters yake na Thesis aliyofanya...kisha tupe ufaulu ulimpelekea yeye kusomea PHD.....(kwakuwa yeye anajiita mch...basi leta Elimu yake ya Theology)



Dr. Majimarefu pia kaandika riwaya chungu nzima za uchawi...Nilichogundua Walokole wengi ni mbumbumbu hawana tofauti na ndugu zetu wa deen ya mudy...Li jitu hata Form 4 halijamaliza, ila limefungua kanisa lake la kutapeli watu, baada ya siku mbili tatu linajiita Dr.. WTF
 
March, 8 , 2015 katika ukumbi wa Blue Pearl Ubungo Plaza, Gwajima alitunukiwa PHD ya maswala ya Theology toka katika Chuo Cha OMEGA GLOBAL UNIVERSITY cha South Afrika.

Hivi karibuni kumekuwepo kwa hoja mbali mbali za uhalali wa vyeti vya wanasiasa na watu maarufu zikizunguka mitandaoni.

Kutokana na Gwajima mwenyewe kuwa mshiriki wa joto hilo, nimeona si vibaya kwa wadau kushirikiana kuangalia uhalali wa PHD ya Kiumbe huyo kama tunavyotangaziwa kuwa anayo. hatua hii inatokana na kanuni maarufu ya madai inayomtaka mdai kupeleka madai yake akiwa na mikono misafi kanuni hiyo inasema " He who goes to equity must have clean hands".

Niliamua kufanya utafiti mdogo wa Usajili wa Chuo alichokisoma Gwajima na uchunguzi wangu ulinipeleka katika wavuti ya Idara ya Elimu ya Juu pamoja na mafunzo ya Afrika Kusini, ambapo niliangalia orodha ya Vyuo binafsi vilivyosajiliwa na hivyo kutambulika katika kutoa elimu ya juu, ambayo orodha hiyo ilikuwa updated mara ya mwisho 13th December,2016.

Baada ya kupitia Orodha hiyo; http://cach.dhet.gov.za/files/RegisterOfPrivateHigherEducationInstitutions.pdf; nikakuta kwamba chuo alichosoma Gwajima hakipo katika Orodha ya vyo vinavyotambulika Afrika Kusini.

Baada ya kuipitia orodha hiyo na kujiridhisha kuwa Chuo hicho hakipo katika orodha; uchunguzi wangu mdogo na wa haraka ukanipekela katika globu hii http://consumerwatchdogbw.blogspot.com/2010/04/more-fake-degrees.html;

ambayo ilikua na mtiririko ufuatao wa habari;

More fake degrees?

There was an article in Monitor yesterday entitled "Monnakgosi becomes a Professor Of Divinity". This reported that:
"During a special ceremony at the church that he founded in the early 1990s, Omega Global University on Saturday conferred upon Dr David Monnakgosi a Professor of Divinity Degree for his lifelong service to God and the nation."However there's a catch. Omega Global University doesn't actually exist. It's a fake university. As far as I can establish it operates from no more than a cellphone number. It used to have various web sites (including omegabibletheologicalcollege.com and omegaglobaluniversity.com) but those sites have both recently been suspended.

Both of the suspended sites were registered to:
"Vusumuzi Nehemiah Sibiya
co 29 Maud Ave
Pietermaritzburg, KZN 3201
South Africa"This seems to be the guy who answers the cellphone number and who described himself as "Professor Sibiya". No surprise, when you do some research you quickly find that there is no such person as "Professor Sibiya".

I'm not the first to spot them, you can see a story about another "honorary degree award" here.

Posted by Richard Harriman at 11:08 ;

Wakuu baada ya kupitia habari hiyo; nimeona sio vibaya kwa pamoja kwa spidi ile ile iliyopo kuangalia kwa kina uhalali wa hiyo PHD ya kiumbe huyo, ukizingatia kwamba, ili msomi akubalike Tanzania inabidi chuo alichokisoma huko kitambulike na mamlaka ya huko pia kipitishwe na TCU; sidhani kama Gwajima alipeleka cheti chake kuhakikiwa na mamlaka hiyo.

Baada ya hayo machache naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom