Kile ni Kisiwa na Vyema kikawa dependent kwa kila kitu kutoka bara ili siku kama ni wao au adui akitaka kuvitumia kuhujumu tunakata tu umeme mzee ns huduma zingine
Kwa ustawi wa jamii tunahitaji diversity mzee watu kama hao ni ingrident nzuri kwenye jamii, Niliwahi kumsoma Joseph Kony nikaona dunia inahitaji watu wa namna hio
Apone ili iweje ili aende wapi sasa kama mtu yupo above 90+, Ningekuwa mimi ndo huyo mzee ningeamua kuondoka tu kwa manufaa makubwa ya familia na Wajukuu zangu, Mzee kama huyo ni mbinafsi na Ana serve his own interest ndo mana unaona yupo above 90+ Still ana ngangania matibabu ya gharama, Mimi...
Mshahara kama huo unakuaje na familia aisee? Huo mshahara hata bachelor haumtoshi kabisa sembuse wewe mwenye Mke na watoto? Mnatoa wapi Nguvu ya Kuoa na Kipatao tia tia maji ivo, Ungekuwa mwenyewe ungepambana ila tayari una familia apo utaishi kama Shetani
Nimesikia Aibu mimi kwa niaba ya Waziri Dorothy Gwajima, Yani Waziri Mzima ana endorse hii taka taka kweli? Sheria za ovyo sana izo tunarudi nyuma aisee
Erolink na Deloitte wameletwa na Maharage kama Consultancy Firms za Upigaji tu, Jamaa hakuamini kabisa System za Ndani ila pamoja na Ilo wamepiga sana na Makamba mpaka unawaza hii Nchi ina Vyombo vya ulinzi
Tanesco was too big for him, ila nilifurahi kuteuliwa Kuwa MD TTCL jamaa ana Experience na issue za Telecom since alikuwa Vodacom hata Taaluma yake ni mbobezi wa Electronics and Telecom, Ila maisha haya Maharage ametoka Kwenye shirika Kubwa sana Tanesco, Yani shirika lenye assets nyingi kitaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.