bukenyaimo
Member
- Oct 21, 2021
- 99
- 289
Kwa mwenye ufahamu wa hili naomba anisaidie kuelewa.
Kumekuwa na utitiri wa Mashirika ya Kimataifa nchini. Wiki iliyopita nilikuwa Kasulu na kuona msururu wa magari (Land Cruiser)za Mashirika mbalimbali ya Kimataifa Wilayani Kasulu. Je, yana faida yoyote kwa UCHUMI wa Wana Kigoma na Nch i kwa ujumla?
Kumekuwa na utitiri wa Mashirika ya Kimataifa nchini. Wiki iliyopita nilikuwa Kasulu na kuona msururu wa magari (Land Cruiser)za Mashirika mbalimbali ya Kimataifa Wilayani Kasulu. Je, yana faida yoyote kwa UCHUMI wa Wana Kigoma na Nch i kwa ujumla?