Kwa mara ya kwanza nimefika Mwanza nimekutana na stand Mpya ya Nyegezi. Hayati Magufuli CCM ilipoteza Rais!

Mambo mengine niyakawaida.yanachelewa kufanyika kwasababu yakua na serikali iliyochoka madarakani.Fedha zinazopatikana nchi hii tungekua na uongozi makini nchi ingekua mbali sana.Leo tunashangaa ya Jpm kwasababu tumezoea maendeleo kwetu ni anasa.Kwakua Jpm alikua mmoja na leo hayupo wananchi wana kila sababu yakuamka nakujua kua kumbe mambo makubwa na mazuri yanawezekana endapo tutaamua kua na viongozi wanaojielewa.
 
Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.

Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.

Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.

Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.

Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.

Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!

Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
asingekuwa mkatili, alikuwa mtu mtendaji sana, na ninaamini miaka ya mbeleni tutamhitaji rais kama yule ila apunguze ukatili kidogo.
 
Kwa sasa ameshatutoka! Tumwombe Mungu 2025 atupe Rais atakayekuwa na moyo wa kizalendo wa Hayati, ingawa kumpata mtu wa aina hiyo ni kazi kweli kweli.
 
Ngosha karibu mwanzaaa....jmosi uje hapa bambino turuke nyokaa
 
Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.

Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.

Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.

Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.

Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.

Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!

Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Safi sana kaka .
Ukipata muda usiache kufika hapo Makoroboi uone uumbaji wa Mungu pia
 
Ukitaja jina la Magufuli unatonesha donda bichi kwenye mioyo ya watu, Kila siku nchi inamlilia Kwa mazuri mengi aliyotenda.

Yawezekana baadaye neno Magufuli likaongezwa na BAKITA kwenye kamusi likimaanisha mzalendo, mpambanaji na mfia nchi.
 
Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.

Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.

Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.

Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.

Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.

Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!

Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Ni kweli, stendi zote mbili: Nyamhongolo na Nyegezi ni nzuri sana.

Mwezi August 2023 nilipita hapo Nyegezi.

Lakini pamoja na uzuri wake, nina mashaka uzuri uliopo unaweza kupungua sana baada ya muda mfupi kutokana na upungufu wa ustaarabu.

Ni miezi michache tu imepita tokea ilipofunguliwa, lakini vyoo vimeshaanza kuharibika kwa kuharibiwa. Inasikitisha sana.

Pengine, ingetolewa "semina" ya jinsi ya kutumia vyoo vya kisasa.

Kwa hali niliyoishuhudia, inaonekana bado kuna changamoto kwenye namna bora ya utumiaji wa vyoo vya kisasa.

Siku hiyo niliwauliza wahudumu wa hivyo vyoo kwamba kwa nini wasiwe wanawaelekeza watu jinsi ya kuvitumia, wakasema wengine ni wabishi. Wakielekezwa jinsi ya kuvitumia, husema wanajua. Lakini muda mfupi baadaye, ukiingia unakuta kuna kifaa kimeshaharibiwa. Mpaka wengine wanatamani askari wa JKT wapewe jukumu la kuvisimamia kwa muda mpaka watu watakapovizoea.

Kama tahadhari haitachukuliwa, baadhi ya miundombinu, hasa ya upande wa vyoo, itaharibika kabisa, baada ya muda mfupi.
 
Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.

Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.

Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.

Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.

Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.

Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!

Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.

Mmh kwani mna hakika CCM itashinda uchaguzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom