Mliprotest wakati kafanikisha madili kadhaa ya Samia.Alipokuja wakati ule bado tuli protest.
Tanzania siyo pango la wanyang'anyi na wauaji.
Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007. Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu. Na alikuwa...www.jamiiforums.com