FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,211
- 109,786
Ni kuomba Mwenyezi Mungu lakini hayo hayaepukiki. Yalikuwa yanafanywa kila siku na wayahudi lakini sasa wapalestina wameamuwa yafanyike huku na wao wanpigana, siyo wamekaa ytu.Nimeangalia kwny Tv station moja,da!Hawa jamaa walijipanga mda mrefu na kufanya mafunzo ila ni kuomba Mungu yasitokee mauaji hasa kwa raia wasio na hatia hususani kinamama na watoto maana yajayo yanahuzunisha