CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 7,617
- 16,713
UTOTO RAHA SANA.
Job aliteleza, akasahau ana maadui CHADEMA, wakaungaunga maneno yake spichi tatu tofauti is ionekane anamtukana mwenye nchi kwa kutumia lugha yao. Hili linasahemeka.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Paul huyuhuyu wa kolomije? Wengi wamemzoea kwa jina la bashsheetHabari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Vipi Erasto Mang'enya na Adam Sapi Mkwawa? Hawakuwa maspika halafu wakaja kuwa mawaziriKwamba Waziri wa mambo ya ndani ni kazi kubwa kwa Job kuliko alikokuwa Mungu mtu?
Kwanini awe tu mkuu wa chuo mkuu?Labda awe mkuu wa Chuo
Mkuu mission aliyofanya Lowasa ya kuwafanya waliomchafua wamsafishe mwaka 2015, hakikuwa kidogo. Hivyo baada ya kusafishwa acha apumzike sasa.Aliondoka Lowasa na akasahaulika Huyo job na paul ni akina nani?
Labda kama wewe ndio Paul umeamua kujitabiria sawa.
Job na Paul sasa wamekuwa marafiki......wanakaa tenga moja😆😆😆
Hata vyama vya siasa vimeanza pia kupoteza ubora mkuu.Jamii forum imeanza kupoteza ubora wake.
Hata Trump pamoja na utajiri wake lkn inasemekana alikuwa anakwepa kulipa kodi.Je hayo malipo anayopewa kila mwezi hayamtoshi!!
Sawa mke wa Ndugai, kumbe na wewe upo humu!Huyo ni mke wa Makonda.
Asante mkuu kwa kuwaelewesha hawa vijana wasiokuwa na elimu.Embu mkumbuke sitta basi alipotoka uspika alikuwa waziri miondombinu,pia Africa mashariki kwahiyo inawezekana
Bila shaka wewe hauijui siasa. Kabla ya 2015 kuna chama kilipanga kuwa kikishinda uraisi kitampeleka Lowasa jela kwa ufisadi. Lkn mwaka 2015 chama hicho hicho kikampitisha yule waliesema watampeleka jela (Lowasa) agombee uraisi.Huyo anayekung'ata sikio naye kang'atwa
Huyo Jobu si alishagaaga na jimboni kwakwe??
Aombe msamaha ili asikatwe kwenye kuogombea ubunge wa kitu gani tena?
2026?Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Siwezi kubishana na mtu uliejifunza siasa juzi.Acha uongo,
Speeker mstaafu hawezi gombea ubunge.
Pia huyo unayemwita mmiliki HATOGOMBEA!!
mbona kuna watu walishakuwa mpaka marais wa nchi ila leo hii ni wakuu wa vyuo vikuuMtu ambaye ameshakuwa spika kupewa uwaziri mbona having haiingii akilini.
Tetesi ya kitapeli hii job alishaaga hatagombea tena ubunge kabla hata hajavuliwa kwa lazima nafasi aliyokuwa nayo.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Umehoji kiakili sana, na sidhani kama jamaa atakupa jibu la kueleweka.mbona kuna watu walishakuwa mpaka marais wa nchi ila leo hii ni wakuu wa vyuo vikuu
Narudia tena, wewe ni miongoni mwa watu wasioifahamu vizuri siasa. Hebu soma hapo chini 👇Tetesi ya kitapeli hii job alishaaga hatagombea tena ubunge kabla hata hajavuliwa kwa lazima nafasi aliyokuwa nayo.
Bila shaka wewe hauijui siasa. Kabla ya 2015 kuna chama kilipanga kuwa kikishinda uraisi kitampeleka Lowasa jela kwa ufisadi. Lkn mwaka 2015 chama hicho hicho kikampitisha yule waliesema watampeleka jela (Lowasa) agombee uraisi.
So asilimia 90 au 95 ya maneno ya wanasiasa ni uongo mtupu mkuu. Don't be blind like that.