Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Job aliteleza, akasahau ana maadui CHADEMA, wakaungaunga maneno yake spichi tatu tofauti is ionekane anamtukana mwenye nchi kwa kutumia lugha yao. Hili linasahemeka.

Paulo mie nilimzeleu pale alipowaambia Wachagga ukweli wao, dunia haiko hivo. Kwake akili ndogo changanya na madaraka kulewa, angemtii Askofu (alimpa nafasi, twice!!) aombe radhi yangeisha na angepanda chati. Ni sikio la kufa.

Generally, he was/is out of his depth. I mean, utaendaje madhabahuni umevaa kapelo na bodyguards?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Paul huyuhuyu wa kolomije? Wengi wamemzoea kwa jina la bashsheet
 
Aliondoka Lowasa na akasahaulika Huyo job na paul ni akina nani?

Labda kama wewe ndio Paul umeamua kujitabiria sawa.

Job na Paul sasa wamekuwa marafiki......wanakaa tenga moja😆😆😆
Mkuu mission aliyofanya Lowasa ya kuwafanya waliomchafua wamsafishe mwaka 2015, hakikuwa kidogo. Hivyo baada ya kusafishwa acha apumzike sasa.
 
Huyo anayekung'ata sikio naye kang'atwa

Huyo Jobu si alishagaaga na jimboni kwakwe??

Aombe msamaha ili asikatwe kwenye kuogombea ubunge wa kitu gani tena?
Bila shaka wewe hauijui siasa. Kabla ya 2015 kuna chama kilipanga kuwa kikishinda uraisi kitampeleka Lowasa jela kwa ufisadi. Lkn mwaka 2015 chama hicho hicho kikampitisha yule waliesema watampeleka jela (Lowasa) agombee uraisi.

So asilimia 90 au 95 ya maneno ya wanasiasa ni uongo mtupu mkuu. Don't be blind like that.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
2026?

Binadamu anapanga yake wakati Mungu anamipango yake.
 
Acha uongo,

Speeker mstaafu hawezi gombea ubunge.

Pia huyo unayemwita mmiliki HATOGOMBEA!!
Siwezi kubishana na mtu uliejifunza siasa juzi.

Wakati spika mstaafu marehemu Sitta anachaguliwa kuwa Waziri wewe ulikuwa bado unanyonya. So hauwezi kuyajua haya.

Angalau ungesema labda hiyo 2026 kwa mipango ya Mungu wanaweza wasifikishe, hapo utaeleweka.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Tetesi ya kitapeli hii job alishaaga hatagombea tena ubunge kabla hata hajavuliwa kwa lazima nafasi aliyokuwa nayo.
 
Tetesi ya kitapeli hii job alishaaga hatagombea tena ubunge kabla hata hajavuliwa kwa lazima nafasi aliyokuwa nayo.
Narudia tena, wewe ni miongoni mwa watu wasioifahamu vizuri siasa. Hebu soma hapo chini 👇
Bila shaka wewe hauijui siasa. Kabla ya 2015 kuna chama kilipanga kuwa kikishinda uraisi kitampeleka Lowasa jela kwa ufisadi. Lkn mwaka 2015 chama hicho hicho kikampitisha yule waliesema watampeleka jela (Lowasa) agombee uraisi.

So asilimia 90 au 95 ya maneno ya wanasiasa ni uongo mtupu mkuu. Don't be blind like that.
 
Back
Top Bottom