Asante sana kwa mchango wako mzuri, nimejaribu kufanya marekebisho kadhaa, kwa mchango wako post itasomeka vizuri kweli. Sio kusoma nje mkuu nadhani ni mapungufu yangu kwenye kiswahili nitajitadi kujifunza zaidi na kuwa mzalendo zaidi. Mchango mzuri sana, unajua nawezaje edit kichwa cha habari...
Baada ya kurejea nchini, matumaini yangu na nguvu ya kuitumikia Tanzania yalikua makubwa kweli, Nilijaribu tafuta ajira kwa kipindi cha mwaka mmoja bila mafanikio, nikaamua kuanza kujiongeza kwa kutumia uzoefu wangu wa nje hasa katika e-commerce huku nikilenga kushirikiana na wajasiliamali wa...
Kwanza Pole sana, pili tambua kua kila mahusiano hayakosi kachangamoto fulani kanako ibuka na kupotea au kanakojirudia rudia, wengine wanaona uchafu fanya hili...wengine lile..wengine hawataki nyonya mboo au K..wivuuu wasiojua kukisi wale kama mabundi..kina koromaso etc ilihali changamoto ni...
First of all pole sana, and the fact that you are worried inaonesha jinsi gani umempenda jamaa na hujafata vingine..and usijali hizi toxic comments za tamaa etc..kila mtu ana vigezo vyake vya kupenda na vyako ndo wadhungu kama mie na K nyeupe loo, I like the way you are honest about your...
kuna mtanzania anaefanya mziki wake mbele,amewahi imba wimbo hu''WHY DON'T U CHAA...NGE YOUR LOVE ON MEE..WHY DONT U CHA...NGE YOUR LOVE ON MEEE...ulikua unarushwa sana na kituo cha ITV Miaka ya 2000,shouting yake ilichukuliwa beach.help me on this friend
Utakua unajiuliza maswali mengi,mkopo wangu ni asilimia ngapi?,napaswa kujilipia ada asilimia ngapi? Deadline ya payment ni 30sept,sasa nitalipaje.
UNATAKIWA ULIPE KILA KI2 ISIPOKUA ADA TU,HII UTALIPA PINDI UKIFIKA CHUO CAUSE PANA BENL YA CRDB,HATA KAMA TARE 30,ITAKUA IMEPITA HAKITAHARIBIKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.