Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mapenzi ya mbali yanaleta sana stress... utajitahidi kuwa positive weee lakini ipo siku lazima utaanza tu kuwaza mawazo potofu.. atakutafuta mwaya, just relax..
Well said, sema love ikiwa on the air mama angu huskii kitu. 5years long distance..stress kibaoo..tatizo she is soo really and ktamuuu
 
Kweli mmeumbika
Naishi na weupe huku lakini nawapenda weusi zaidi
Vipi umepona vidole lakini? Pole

Sipo kwenye mitandao labda ningekuona (just joking )
Vuta subra wakati huu ni baridi sana na barafu inamwagika sana huenda yuko ski na wapambe kakuweka pause kwa mda

Nachechemea bado lakini ss hv atleast naendelea vizuri ukizingatia naweza hata kutembea polepole.
 
Long distance relationship inaweza kumletea mtu ugonjwa wa moyo na sonona. Ingekuwa jamaa yupo "buguruni gana" chap ungepanda boda ukamfata ghetto kujua shida iko wapi, sasa mtu yuko Norway huko unakufa na pressure kumbe it's just a minor thing.

Mi nakuambia, pamoja na kuwa nae...usiache kabisa kuwa na mtu wa kutuliza hizo stress, trust me hutapata shida sana, pale utakapoona the man is serious, very serious with you...ndio uachane na huyu rafiki wa Das'lam!

Yeah your very right na hii tabia ya kua na hofu hua nnayo sio kwa sababu ya huyu mzungu tu ila sababu nishajijua najitahidi sana ku overcome situation na kucalm down sababu nikiiendekeza itakuja kunicost baadae..asante kwa ushauri mzuri bro
 
Kweli mmeumbika
Naishi na weupe huku lakini nawapenda weusi zaidi
Vipi umepona vidole lakini? Pole

Sipo kwenye mitandao labda ningekuona (just joking )
Vuta subra wakati huu ni baridi sana na barafu inamwagika sana huenda yuko ski na wapambe kakuweka pause kwa mda

Amesharudi hewani alipata tatizo kidogo..asante kwa ushauri na muda wako mkuu
 
Thanks kwa ku appreciate. Na umeuthamini muda niliotumia kukushauri.
Sema nilichokupendea uko na ndoto ya kumiliki mzungu. Huwa naelewa Mana ya ndoto so huwa navalue Sana Mana hata mie ni mtu wa ndoto na nilikuwa wa ndoto since my early childhood yaani Ile nikiwa below five years nawaza kusoma nje ya nchi. Na nilifanikiwa. Yaani kila kitu kinachotokea kwangu huwa naota nakuwa na desire mbaya Sana yaani Ile burning desire. Nakuwa very passionate kiasi kwamba hata usingizi sipati,njaa sipati hata hamu ya mapenzi Sina Bali only my burning desire with highest and strong fire fuel flames.
Nicheki ukikwama hata pm.
Pia Kuna dada mmoja tu aliolewa na mzungu tulioenda kusoma nao.
Kuna mzungu tulikutana naye kwa underground train mkewe ni black.
Yule bwana shemu wetu kuna kitu tulikwama kule chini akaongea na maaskari kikwao afu tukafanikisha.alikuwa Ana dada yetu na anko wetu mmoja.
Ila please usiwe Sana tuned kiasi kwamba Mambo yakibaunsi kubali ambayo Mungu amekujaalia.
Kwa elimu iyo uko poa Sana.
Yaani hata kwa ku upgrade kwa nje ni haraka ama ni rahisi Sana.
Huyo dada ukitaka nikuunganishe naye nadhani Yuko fb saivi Yuko zake nje.
Sema bana huyu dada alikuwa Ana tabia nzuri Sana yaani Sana hta mtu ndugu angetaka kumuoa ningempa go ahead.
Sema Sasa blacks tukiwa nje hatunaga hamu na nyie dada zetu yaani hata bure.
Binafsi ilinichukua muda mrefu Sana baada ya kurudi bongo Nika develop Tena hisia na dada zangu wa kiafrika.
White aliyezoea pigo zetu Kaka zake huwa anawaona Kama hawawezi kazi

Wow una exposure nzuri sana and its very interesting to hear this from you! Mimi ni mtu wa kuishi kwa ndoto kuanzia elimu yangu mpk mtindo wangu wa maisha na nashukuru Mungu vingi hua vinaenda!
Kuishi bila malengo na ndoto ni kujikosea sababu ww kila kitu utaona sawa tu asante sana kwa maelezo mazuri incase of anything I will pm you.
 
Naomba ufanyie ushauri wa huyu jamaa yaani jitahidi uwe na mtu hapa ambaye anakuweka sawa sawa mpaka unajisikia kweli umelimika na sio mtu anaacha sehemu zingine hazijalimwa vizuri.
Si unajua hata Ile kujishikiza kazi sehemu fulani huku ukisubiria kazi ya ndoto yako

Hahaha I will do this for sure bro
 
Majira ya barafu sasa, ukanda huo hadi URUSI so watu hawatembei sana, mostly mnakuwa ndani, inafikia kipindi hadi miezi miwili. Utaona akitulia atakuchek, wazungu wana mapenzi ya kweli, sisi weusi haturidhiki na mtu mmoja. Whiteman akikuhisi una pisi nyingine ndio mkono wa kwaheri.
 
First of all pole sana, and the fact that you are worried inaonesha jinsi gani umempenda jamaa na hujafata vingine..and usijali hizi toxic comments za tamaa etc..kila mtu ana vigezo vyake vya kupenda na vyako ndo wadhungu kama mie na K nyeupe loo, I like the way you are honest about your feelings ni ingredient muhimu sana katika mapenzi..I would like to think that the guy is just busy or something you know, cause sitaki fikilia kua ameku ghost , inauma sana kwa mtu unaemconsider special..arudi tu akuwashe vizuri jamanii..mana ulivompendaa.

Hahahaha ila well amerudi he is ilnotba ghost actually, alipata tatizo and we are fine now.
 
Majira ya barafu sasa, ukanda huo hadi URUSI so watu hawatembei sana, mostly mnakuwa ndani, inafikia kipindi hadi miezi miwili. Utaona akitulia atakuchek, wazungu wana mapenzi ya kweli, sisi weusi haturidhiki na mtu mmoja. Whiteman akikuhisi una pisi nyingine ndio mkono wa kwaheri.

Your right amenichek bro, simu take ilianguka wino ukajaa so akawa anasikia notification ila screen haifunction leo ndio kanunua simu mpya.
 
Madkini ya Mungu..asante kwa kuchangia pia.

Kama nakuona akili ilivyotulia sasa.. hongera kwa kupenda na kupendwa.. anza kutayarisha mipango ya kuhakikisha hizo siku anakula bata haswa usisahau kwenye utalii kubuku na safari akajionee wanyama pia.. Zanzibar kama haupo huko.. kila la kheri.. muonyeshe unaweza kutumia pesa yako kumpa raha pia.. mkitoka unamwambia utalipia bill unafanya style ya kama kupokezana kwa kujipimia urefu wa kamba yako.. mara tano chomeka wewe moja au mbili muhimu ukizidisha poa tu.. hata kulipia taxi etc
 
Kama nakuona akili ilivyotulia sasa.. hongera kwa kupenda na kupendwa.. anza kutayarisha mipango ya kuhakikisha hizo siku anakula bata haswa usisahau kwenye utalii kubuku na safari akajionee wanyama pia.. Zanzibar kama haupo huko.. kila la kheri.. muonyeshe unaweza kutumia pesa yako kumpa raha pia.. mkitoka unamwambia utalipia bill unafanya style ya kama kupokezana kwa kujipimia urefu wa kamba yako.. mara tano chomeka wewe moja au mbili muhimu ukizidisha poa tu.. hata kulipia taxi etc

Thanks for the good advice dear aliplani tukae two weeks in Dar then 1 week arusha na two weeks in zanzibar i hope everything will go well as planned..thanks for the concern dear
 
Cha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.

Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
🤣🤣🤣 mshono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom