ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,917
- 90,990
Mapenzi popote, muache dada atuwakilishe kama taifa.Wewe ndio masikini unapokea hela from strangers kama dirty money je!? sina uhakika kama una shughuli yeyote ya kukukwamua na uchumi wako
Unalilia mapenzi na mzungu alikushit baada ya kuona uko cheap huna standards unaona unaonewa donge mwenyewe
Kumbe yaweza pia kuwa umetongwa na mnigeria alieko kule lagos vichochoroni .
Basi ukaleta hapa sasa iweje uje kutatambia au iweje mambo yako personal na kimapenzi ulileta hapa ili iweje!?
Unajielewa kweli wewe !? Una akili sawa sawa!?