Nawasalimu ndugu zangu
Natumai sote au wengi wetu humu tumeona namna matokeo ya kidato cha nne yalivyokuwa mabaya mwaka huu. Kwa kuwa wanahabari nao ni sehemu ya jamii wanaoweza kutusaidia kubadili hali ya mambo katika sekta ya elimu naomba kuuliza ili tutoe michango tunawasaidia vipi waandishi...
Nawasalimu wana JF
Kwa taadhima naomba kuuliza nina eneo la nusu ekari mahala panaitwa Msongola katika wilaya ya Ilala. Naomba kujua kwa eneo hili la ardhi naweza kufanya kilimo gani kinachoweza kunipatia senti za hapa na pale. Kwa ajira niliyo nayo nina uwezo wa ku save Sh laki moja kila mwezi...
Salamu wakubwa nimeinyaka taarifa hii kutoka mtandao wa gazeti la Mwananchi
Monday, 03 January 2011 19:43
Nani wanastahili kupewa shahada za heshima?
Na Florence Majani
AGOSTI mwaka jana, Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Mayunga Nkunya alizungumza na...
hicho kiasi mkubwa ni baada ya kutoa gharama zingine kama kuendesha familia, usafiri na mengineyo. Yaani huwa nabakiwa na mshiko huo baada ya kugaharamia vitu vyote muhimu vya mwezi
Salam wanajamii wenzangu. Naamini humu hakuna wachoyo wa msaada wa mawazo. Ni kwa matarajio haya naomba kuuliza mimi nafanya kazi sekta binafsi kama mwajiriwa mwisho wa mwezi naweza ku save laki mbili na nusu
Ninauliza hivi kwa kiasi hiki ninawezaje kukitumia ili angalau miaka michache ijayo...
Wakuu naomba mpitie hiyo makala hapo chini muone naomna sekta ya vitabu ilivyovamia Bongo. Ni makala kutoka gazeti la Mwananchi leo jumanne tar 26 2010
Mkanganyiko vitabuni
Kitabu chafundisha mbu anasababisha kipindupindu
Na Abeid Poyo
UJIO wa mfumo wa kiuchumi wa soko huria umeleta...
Habari zebu wadau wa ukumbi huu wa elimu. Naomba kujua katika magazeti yote nchini Tz gazeti lipi linaongoza kwa kuwa na makala nzuri za elimu zilizotafitiwa na zenye kuelimisha jamii
Asanteni
Nawasalimu wafikiriaji wakuu
Naomba msaada kuhusu njia bora ya kuzuia majanga ya moto majumbani. Nyumba yangu nimeunganisha umeme wa tanesco wiring yake ndio hiyo hiyo ya Kiswahili (sina uhakika na vifaa kama ni bora ama feki)
Nina wasiwasi siku umeme huu kuja kunilipukia hivyo nawaomba wajuzi...
Nimei down load kutoka mtandao wa gazeti la Mwananchi
Tanzia:Kapumzike Dk Kisanji waliokujua watakuenzi
Na Abeid Poyo
HAKUNA awezaye kukizuia kifo pindi kinapomtembelea mwanadamu. Laiti uwezo huo ungekuwapo, wadau wa elimu nchini wangekuwa wa mwanzo kukizuia kifo kisimchukue marehemu Dk...
ndugu yangu hicho si Kiswahili sanifu ni yale yale mambo ya kutumia miundo na maneno ya Kiingereza na kulazimisha iendane na kiswahili
kuhofia uliyoitaja inatokana na wazungumzaji wa Kiswahiil kuathiriwa na neno FEAR la Kiingereza
Unajua unaweza kusema katika Kiingereza ten people are feared...
Ujamaa uliikosesha Tanzania ajira za Kiswahili Marekani
Bado Tanzania ina nafasi na uwezo mkubwa wa kuikuza lugha ya Kiswahili nje ya mipaka yake. Huu ndio mtazamo wa Profesa Pete Mhunzi, Mmarekani mwenye asili ya Afrika na mpenzi wa Kiswahili anayeelezea maendeleo ya lugha hiyo nchini Marekani...
Ndugu Jubilant Nyumba yangu ina vyumba vitatu vya kulala, sitting na dining, jiko na small library. Sina mpango wa kutumia AC ila wearing ninayoifanya nataka iwe ile itakayoweza kuja kuhimili matumizi ya vitu kama friza kubwa, desktop comp, laptop, Tv tatu, pasi na jiko la umeme. Taa nataraji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.