Nawasalimu wana JF
Kwa taadhima naomba kuuliza nina eneo la nusu ekari mahala panaitwa Msongola katika wilaya ya Ilala. Naomba kujua kwa eneo hili la ardhi naweza kufanya kilimo gani kinachoweza kunipatia senti za hapa na pale. Kwa ajira niliyo nayo nina uwezo wa ku save Sh laki moja kila mwezi
Asanteni
Kwa taadhima naomba kuuliza nina eneo la nusu ekari mahala panaitwa Msongola katika wilaya ya Ilala. Naomba kujua kwa eneo hili la ardhi naweza kufanya kilimo gani kinachoweza kunipatia senti za hapa na pale. Kwa ajira niliyo nayo nina uwezo wa ku save Sh laki moja kila mwezi
Asanteni