Habari zebu wadau wa ukumbi huu wa elimu. Naomba kujua katika magazeti yote nchini Tz gazeti lipi linaongoza kwa kuwa na makala nzuri za elimu zilizotafitiwa na zenye kuelimisha jamii
Asanteni
Kwako wewe makala ya elimu kwenye gazeti ina sifa gani ?
Habari ya uchumi inaweza kuwa na elimu ya uchumi
habari ya kisiasa inaweza kuwa na Elimu ya kisaisa
habari ya kiteknolojia inaweza kuwa na elimu ya
Etc... etc infact ata kwenye uwazi na ijumaa kuna elimu msomaji anaweza kupata
So inategemea wich scope of general education uko interested nayo?
Kama ulimaanisha makala za elimu ya masomo ya darasani mashuleni na vyuoni nadhani hakuna. Kuna kipindi haki elimu walikuwa wanafanya research na kutoa mapendekezo yao sijui wameishia wapi. Inawezekana walikuwa wanaongeza chumvi zaidi au serikali haikupenda kukosolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.