au ni s...............................................................................aNimjuavyo, hawezi kuoa. Usinitake nitoe sababu, siruhusiwi
Mbona jicho halionekani!Jicho hilo jamani jicho zito
I doubt,hii picha itakuwa ya kutengeneza,sijawahi kumuona Zitto akiwa na nywele nyingi kiasi hiki!
Tema mate chini...........puuu!!puuu!au ni s...............................................................................a
Mh!nashukuru kwa kuweka vizuri kumbukumbu zangu kuhusiana na Zitto!hio picha ni kweli bwana mi mwaka 2007 zito alikua na nywele
I doubt,hii picha itakuwa ya kutengeneza,sijawahi kumuona Zitto akiwa na nywele nyingi kiasi hiki!
He he he! Na Le mutuz alishaanza kujiita nani? Prince au 1st son?Huyo aliyenae ndo FIRST LADY nini??? Kila la Heri FL ukiingia Ikulu na wewe uanzishe WAMA yako eeeh!!!
Nakumbuka hata Anne Kilango alikuwa anajiita FL wakati Dingi ake LeMutuz anautaka Upresidaa...
Nimjuavyo, hawezi kuoa. Usinitake nitoe sababu, siruhusiwi
mimi nimeuliza tu kama kuuliza ni dhambi nitatema ptu puuu puuu.Tema mate chini...........puuu!!puuu!
Jicho hilo jamani jicho zito