Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
Zuzu mmoja alikuwa anaumwa sana,akaamua kueka
picha ya daktari kwa ukuta wa chumba chake. Ghafla akatembelewa na marafiki zake,walipoona
picha ukutani wakamuuliza,"Hio picha ukutani ni ya
nani?" Zuzu akajibu,"Si ni ya dokta." Wakamuuliza,"Mbona umeiweka hapo?" Akajibu,"Nilienda phamacy kununua
dawa,wakanishauri maumivu yakizidi nimuone
dakatari!"
picha ya daktari kwa ukuta wa chumba chake. Ghafla akatembelewa na marafiki zake,walipoona
picha ukutani wakamuuliza,"Hio picha ukutani ni ya
nani?" Zuzu akajibu,"Si ni ya dokta." Wakamuuliza,"Mbona umeiweka hapo?" Akajibu,"Nilienda phamacy kununua
dawa,wakanishauri maumivu yakizidi nimuone
dakatari!"