Kamaka JF-Expert Member Jun 7, 2010 563 33 Jan 6, 2011 #1 DOKTA ; Itabidi umeze dawa vijiko vinne vya chai ZUZU: DUH! Zuzu akawaza kidogo kisha akaendelea... lakini dokta sitaweza. DOKTA:Kwanini? ZUZU; Nyumbani nina vijiko viwili tu vya chai kwenye kabati
DOKTA ; Itabidi umeze dawa vijiko vinne vya chai ZUZU: DUH! Zuzu akawaza kidogo kisha akaendelea... lakini dokta sitaweza. DOKTA:Kwanini? ZUZU; Nyumbani nina vijiko viwili tu vya chai kwenye kabati