Zuzu na dokta

Kamaka

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
563
33
DOKTA ; Itabidi umeze dawa vijiko vinne vya chai


ZUZU: DUH! Zuzu akawaza kidogo kisha akaendelea...
lakini dokta sitaweza.


DOKTA:Kwanini?


ZUZU; Nyumbani nina vijiko viwili tu vya chai kwenye kabati
 
Back
Top Bottom