veyra
Member
- Aug 31, 2025
- 19
- 29
Mgombea Ubunge wa jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi imara ambaye amefanya kazi kubwa ya kuimarisha amani, utulivu na haki nchini.
Akizungumza leo Agosti 31, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania kwa Mkoa wa Dar Es Salaam uliofanyika katika viwanja vya Sokoine,Temeke, Zungu amewaomba wananchi hao kumchagua mgombea Urais wa CCM ambaye ni Dkt. Samia ili aendelee kufanya makubwa nchini.
“Mama Samia kaifanya Tanzania leo katika takwimu zilizotoka kwa bara la Afrika kuwa ndiyo ya kwanza kwa amani uhuru na haki za wananchi wake” amesema Zungu
Aidha Zungu amewataka wanachama wa CCM kujitokeza kupiga kura huku wakiwahamasisha na wenzao ili kuiwezesha CCM kupata kura nyingi kwa nafasi zote za kugombea.
Akizungumza leo Agosti 31, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania kwa Mkoa wa Dar Es Salaam uliofanyika katika viwanja vya Sokoine,Temeke, Zungu amewaomba wananchi hao kumchagua mgombea Urais wa CCM ambaye ni Dkt. Samia ili aendelee kufanya makubwa nchini.
“Mama Samia kaifanya Tanzania leo katika takwimu zilizotoka kwa bara la Afrika kuwa ndiyo ya kwanza kwa amani uhuru na haki za wananchi wake” amesema Zungu
Aidha Zungu amewataka wanachama wa CCM kujitokeza kupiga kura huku wakiwahamasisha na wenzao ili kuiwezesha CCM kupata kura nyingi kwa nafasi zote za kugombea.