qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Mume wangu mimi!
pole sana kwa udhibitisho gani?
kwa 2012 mume mwenye kuwa na uhusiano na mtu mmoja(siyo lazima sex) ni mgonjwa! hata wa kumliwaza kwa simu?
Mume wangu mimi!
mbona unashare?Mhhhh....ila mimi kushare husband hapana Smile...bora tu nitafute maskini mwenzangu!
pole sana kwa udhibitisho gani?
kwa 2012 mume mwenye kuwa na uhusiano na mtu mmoja(siyo lazima sex) ni mgonjwa! hata wa kumliwaza kwa simu?
mbona unashare?
labda kama umemmeza na anaishi tumboni kwakoHapana wala sichangii na mwingine, mimi wa kwangu peke yangu! Hilo nalijua
labda kama umemmeza na anaishi tumboni kwako
Huyo wa kwanza kulia (nguo nyeusi) naona kama amenuna hivi..inawezekana husband hamtembelei mara kwa mara....
Unaweza kunitajia mwanaume mwenye actual mke mmoja? ndivyo anavyofanya zuma
pole sana kwa udhibitisho gani?
kwa 2012 mume mwenye kuwa na uhusiano na mtu mmoja(siyo lazima sex) ni mgonjwa! hata wa kumliwaza kwa simu?
Wala si ugonjwa, na wako wengi sana tu wenye mke mmoja, wa kwangu akiwa mmojawapo. Pole wewe mwenye wake wengi.
amini tu lakini tupoUnajua Smile, kwanini nisimwamini. Kwanini niishi maisha ya taabu na wasiwasi ya kuamini kuwa mume wangu ana wanawake wengine wakati maisha yake yananionyesha kuwa yako wazi sana mbele zangu??!!!. Ninachojua na kukiamini ni kuwa hana! Naishi kwa amani zangu!
gg.Com anajua wanaume wa aina hii hawapo tena...
1st Lady nani kakuambia sex inaenda na umri? Sex inaenda na akili ya mtu, kama mtu anawaza sana sex basi lazima atakuwa anapenda sana sex, kama anawaza sana nyama lazima atakuwa anapenda nyama ndo maisha yanavyo enda.PRESIDENT Jacob Zuma will tie the knot again next weekend in a traditional ceremony in Nkandla.
Naona umri kama umeenda ..anawezaje kuwaridhisha hawa wote?
View attachment 51830
Nini maana ya mke... yeye anaoa huduma za room wanapewa na nanI
PRESIDENT Jacob Zuma will tie the knot again next weekend in a traditional ceremony in Nkandla.
Naona umri kama umeenda ..anawezaje kuwaridhisha hawa wote?
View attachment 51830
Mbona wachache hao.............Mi babu yangu alikuwa Chifu wa kabila moja maarufu, yeye alioa wake 18 na nyumba ndogo 12