ZUKU na marudio ya vipindi

ZUKU na marudio ya vipindi

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,316
Inanikera sana tabia yao ya kurudia Swahili movies. Pia hawaweki filamu za Kanumba. Hawa jamaa wanakera mno. King'amuzi gani nitakuwa nakula hadi muvi za Kanumba?Nimekuma kuwa na king'amuzi hiki cha kienyeji. Pia nataka ambacho hata kama nisipolipia nitapata local chanels kama kawaida.
 
mie king'amuzi changu anayehitaji nakiuza, nililipia miezi mi2 nikaona programs zao hazielewi kabisa, nikaona mara 10000 king'amuzi cha wazanzibar kinachoitwa znz cable, kwanza wale ghali kwa mwezi, na bado program zao hazina kichwa wala miguu zimekaa ka funza hazieleweki, nikawakimbia, napigiwa simu kila mwezi nilipie huduma zao ati wameongeza channel, kwani unalipia full kisha wanakwambia baadhi ya channel za kenya mpaka uwe kenya, ndio nini maana ya kulipia full package
 
Pole mkuu akajasembamba Mimi najuta kuwa na zuku. Ningekuwa naishi jirani na paroko ningeenda kuungama kwa kufanya dhambi ya kununua king'amuzi chao.
 
Last edited by a moderator:
Inanikera sana tabia yao ya kurudia Swahili movies. Pia hawaweki filamu za Kanumba. Hawa jamaa wanakera Kmno. King'amuzi gani nitakuwa Knakula hadi muvi za Kanumba?KNimekuma kuwa na king'amuzi Khiki cha kienyeji. Pia nataka Kambacho hata kama nisipolipia Knitapata local chanels kama Kkawaida.
Kweli zuku wanakera.Laiti wangebadilika wsngepata wateja kibao
 
Hata Azamtv nao huwa wanarudia rudia swahili movies mpaka wanaboa...
 
Back
Top Bottom