Zuchu anaenda vunja record ya diamond- most viewed song bila kushirikisha

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
843
1,363
Msanii Zuchu ametoa wimbo wake wa sukari akiwa yeye peke yake na ndani ya miezi sita una views milioni 47.9, huku sikomi Diamond ina views mil 51 miaka mitatu, Sasa hizi ndio nyimbo zenye views wengi kwa wasanii bila assist/featuring, kwa hiyo Zuchu anaenda weka record ambayo sidhani Kama Kuna Mtanzania yeyote ataivunja yaani wimbo wenye views wengi kwa mtanzania akiwa peke yake bila pasi

Diamond na Nandy inabidi wamuheshimu Sana Zuchu amewazidi kwakweli
 
Team mond hamtaki kuona baba yenu anazidiwa au sio.?

Ila fresh
Mondi angekuwa na mtizamo huo hasinge anzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.

Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.
 
Mondi angekuwa na mtuzamo huo hasingeanzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.

Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.
Kuna mond mwenyewe halafu kuna team mond.mond kama mond sio mswahili kiivyo.
 
Mondi angekuwa na mtuzamo huo hasingeanzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.

Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.
Hakuna mtu anayependa record yake ivunjwe, ni nature ya binadamu ubinafsi na wivu
 
Mondi angekuwa na mtuzamo huo hasingeanzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.

Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.
Sadala ndiye artist pekee Tanzania anayetumia nguvu, akili na maarifa wholeheartedly kuhakikisha wasanii wake wanafika level za juu, mifano iko wazi na matokeo yako obvious.
Wasanii wa labels nyingine wapo wapo tu mpaka inasikitisha, wamiliki wengine wa labels sijui ni kuwabania kwa kuogopa kuzidiwa au ni kwamba wanawa'sign ili mradi tu waonekane wana wasanii.
 
Back
Top Bottom