Na sisi tuliojiajiri nani atatukatia bima ya maisha???Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.
Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?
NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Dhamani dha kale?? Watu tuna majonzi we unatuandikia utumbo!! Rudi shule ukafundishwe kuandika then uje uwatukane walimu wako kwa maandishi sahihi.Dhamani ya mfanyakazi huonekani akiwa hai..akifa basi replacement inatafutwa faster then wanakusahau
Dhamani=ThamaniDhamani ya mfanyakazi huonekani akiwa hai..akifa basi replacement inatafutwa faster then wanakusahau
Nafikiri siyo issue ya kulazimisha waajili kukukatia bima,nadhani sisi sote tuwe na tahadhari binafsi kwamba kifo huwa hakipigi hodi.Yaani hata wewe unaweza kuenda mjini asubuhi badala ya jioni kurudi nyumbani , taarifa zako ndiyo zinarudi nyumbani na mwili wako unapelekwa motuary. Je watagemezi wako wataishije kwa kipindi kile cha kwanza kwanza kabla hawajazoea kuishi bila msaada wako. Je wana pa kuanzia?Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.
Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?
NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Life insurance ni moja kati ya reasons za juu kabisa za mauaji huko majuu....Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.
Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?
NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Umbwa = mbwaDhamani dha kale?? Watu tuna majonzi we unatuandikia utumbo!! Rudi shule ukafundishwe kuandika then uje uwatukane walimu wako kwa maandishi sahihi.
Umbwa wewe
Mwalimu wa kiswahili unasahihisha mpaka ‘misimu’?Umbwa = mbwa
Hivi hawa watu uwa wanafidia kweli? Au kazi ni kupokea tu pesa za mwajiriUsichokijua muanzisha mada kuna mfuko unaitwa wcf (workers compensation fund) huo ndio hutumika kufidia mfanyakazi au wategemezi wake pindi anapopata ajali akiwa katika majukumu yake ya kazi au hata kufariki.
Kamkosoa mwenzake, nami nimeshuka na yeye. Jino kwa jino. 😁Mwalimu wa kiswahili unasahihisha mpaka ‘misimu’?
Mjini mipangoHivi hawa watu uwa wanafidia kweli? Au kazi ni kupokea tu pesa za mwajiri