BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Wanabodi,habari zenu kwa ujumla.
Si vibaya tukikumbushana yaliyopita.
Hivi zile hela waliokuwa wanatukata tanesko za service charge,zilikua zinaenda wapi?
Na sasa ilikuaje mpaka wamesitisha?
Mwenye ufafanuzi,hata kama wa tanesko wapo humu.
Zis kantri,hawa tanesko wametuibia sana aisee.
Si vibaya tukikumbushana yaliyopita.
Hivi zile hela waliokuwa wanatukata tanesko za service charge,zilikua zinaenda wapi?
Na sasa ilikuaje mpaka wamesitisha?
Mwenye ufafanuzi,hata kama wa tanesko wapo humu.
Zis kantri,hawa tanesko wametuibia sana aisee.