eep: mpoooh ,kwa ajili ya uchaguzi tu au vipi ?
maumivu ya kichwa huanza polepole
kumbeeee kuwaziiiii.....sasa si ndio mambo ya siku hizi yote yawaaaziiii we huoni wanavyo tutega kiaina aina hao akina mabintiii?ndugu yanguuuu mi nasemaaa ziwaaaaziiiii.....nsalimie wakubwa wa huko.....we acha mi nifurahie topikiiiii wajameni:A S-baby::A S-baby::A S-baby:Ah,nimefungua mbio nikitegemea kuona nyonyo aka titi aka chakula ya mtoto aka saratani kumbeeeeeeee...................