Zitto Zuberi Kabwe punguza uchafu

Zitto Zuberi Kabwe punguza uchafu

Tunaweza kusema ni suna lakini ni kama anawaiga Wanamapinduzi waliowahi kutokea huko nyuma ambao suala la kunyoa ndevu kila mara hawakulitilia maanani.

Hata J.Mnyika kipindi kile alipoteuliwa U-NK alitaka kuiga hii staili.
 
Kama mleta uzi ni Mwanamke chukua hii itakufaa!!
1501263547559.jpg
 
Wenyewe watakuambia ibada.... Imani nyingine ujinga mtupu..
Hata picha za yesu alikuwa anafuga ndevu na pia anavaa kanzu ..na yesu anasema jitieni nira yangu na mjifunze kwangu....sasa leo kufuga ndevu unakuita ujinga....hahaha yaani siku hizi kuwa mkiristo maana yake ni kupinga wanavyofanya waislamu hata kma biblia imeandika huwa mnavikana so long waislamu wana pracise hiko kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenyewe watakuambia ibada.... Imani nyingine ujinga mtupu..
Ibada ya kubeba mawe Afrika kwenda kumtwanga mawe Uarabuni. Ila sio fair aisee. Ngozi nyeupe wajanja sana wanatuumiza huku wanatuchekea kwa ujira wa pakiti ya Tende
 
Back
Top Bottom