hichi ni kirusi ndani ya vyama vya siasa hasa upinzani
Baada ya hapo sikujibu tena, sikuendelea na mjadala, nilikaa kimya. Lakini hatma ya mwisho wa jambo hilo ulibainika na leo hii ni ukweli kuwa Zitto sio mwanachama tena wa CHADEMA (chama alichokijenga kwa jasho na damu) na amevunja kiapo chake kuwa "kamwe sitaondoka"I am too senior kukaa na watoto kama kina Mwampamba kujadili mikakati ya kisiasa. Kuna jambo siwezi kufanya katika maisha yangu ie kusaliti chama changu ambacho nimekijenga kwa jasho na damu. Walioingia chadema baada ya kuona tumaini jipya, kama wanaona maslahi yao hafikiwi waondoke kama Mwampamba lakini sisi tuliowekeza muda wetu na akili zetu kwenye chama hiki cha chadema kamwe hatutaondoka. Tofauti zetu tutazimaliza kwa vikao vya chama na sio kwa kukimbilia CCM.
Sent from my BlackBerry? smartphone on the Tigo Tanzania Network
Uwezo gani.Zitto daima nitakukubali malofa wanajitoa akili kuhusu uwezo wako
Uwezo gani.
The good thing hayuko tena kwenye vyama vya upinzani. Chama chake kina group lake tofauti na vyama vya upinzani. (opportunist)
Uwezo wa kutetea wahujumu uchumi.Uwezo wa kuchanganua mambo bila kufwata mikumbo ya milofa
kwangu hilo wala halinisumbui,huo ni msimamo wangu tangu niwe na maamuzi yangu binafsi. Hakuna mtu hata mmoja hapa Duniani chini ya jua nnayemuamini kwa 100%. Wapo nnaowaheshimu kwa 100% lkn siwaamini kwa 100%.Sasa nawe utambue kuwa usimwamini mtu yeyote maishani mwako!
Zile A/c kule Uswiz alikula rushwa akachakachua majina na sasa atakula pesa za watuhumiwa atakuja kuwatetea kuwa alinukuliwa vibayaNiliacha kumuamini huyu YUDA zamani mno
nnawajua watu wa kigoma vizuri sana