Zitto: Tulikuwa tunafanya propaganda za kwamba tunafufua Shirika la Ndege

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,282
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo amesema ni jambo linaofahamika kwamba Mashirika mengi ya Ndege yanapata hasara Duniani na na biashara yoyote inayofufuliwa haiwezi kuanza kupata faida hapohapo

Zitto amesema “tatizo tulilonalo ni manunuzi ya Ndege na utaratibu uliotumika. Tulikuwa tunafanya propaganda za kwamba tunafufua Shirika la Ndege, shirika linapata faida, shirika linalipa gawio Serikalini"

Ameongeza kuwa kwa mujibu wa ripoti ya CAG kodi za Wananchi ndizo zinatumika kuendesha ATCL na bado pamoja na fedha zote zilizotolewa bado Shirika halijaweza kujiendesha vizuri
 
Muda si mrefu watetezi watakuja kusema "actually ATCL inatoa huduma kwa jamii" maana ukisema faida ipatikane, Dar-Kigoma one way nauli itabidi iwe TZS. 1,700,000/=

Infact wameshaanza. Kuna Mbunge mmoja jana kasema kwamba ATCL inatoa huduma (almost bure) kwa jamii kwa kile alichokiita "kuchochea maendeleo sehemu nyingine"
 
Toka mwanzo alizipondaga ndege ila kutwa kucha akawa anazipanda. Hivi kwa nn yeye kwenye katiba yake kajiweka kiongozi mkuu nafasi explicitly yake tu haigombewi kabisa. Bora hata Mbowe nafasi yake inagombewa japo figisu kibao. Halafu sijaelewa hivi kwa nn act walinimweka makamu wa raisi mtu aliyekua ametimuliwa serikalini? Lengo la zito halikua jema bali kutaka kukutanisha hasi na chanya, majibu yake mnayo
 
Ila Wabongo hasa kwenye hili Jukwaa tuna tabia ya kushabikia Mambo bila kujua,report ya CAG is too technicalities report unahitaji kutumia akili kuliko kutumia makallio kama wafuasi wa CDM.Baba lala salama umeumaliza Mwendo
 
Kwani
Toka mwanzo alizipondaga ndege ila kutwa kucha akawa anazipanda. Hivi kwa nn yeye kwenye katiba yake kajiweka kiongozi mkuu nafasi explicitly yake tu haigombewi kabisa. Bora hata Mbowe nafasi yake inagombewa japo figisu kibao. Halafu sijaelewa hivi kwa nn act walinimweka makamu wa raisi mtu aliyekua ametimuliwa serikalini? Lengo la zito halikua jema bali kutaka kukutanisha hasi na chanya, majibu yake mnayo
Kwani lazima awe kama Mbowe????
 
ATCL hawana ndege ameshaambiwa wanakodi akienda kwenye balance sheet yao atakutana na asset payable ya ndege walizokodi lakini hawana asset ya ndege.

Serikali on the other hand kwenye hizo ndege itakuwa imesha claim capital allowance na inalipwa rent yake kama kawa.

So technically serikali so far kama mmiliki wa ndege hana hasara na biashara ni nzuri kwa upande wake.

ATCL kama lessse wa ndege ndio mwenye hasara in other words matatizo ya ATCL ni purely management issues unaweza elewa kipindi cha COVID biashara kuathirika; lakini miaka ya nyuma zaidi ni management issue.

Moreover CAG inabidi atueleze ni kiasi gani cha ruzuku ATCL imepata kila mwaka si ajabu sehemu kubwa ilikuwa mwaka jana ambapo shirika limeathirika zaidi.

Manunuzi ya ndege hayakuwa ya busara in the first place, tatizo kuna picha mbaya zaidi inachorwa kwa makusudi kumchafua hayati.
 
Muda si mrefu watetezi watakuja kusema "actually ATCL inatoa huduma kwa jamii" maana ukisema faida ipatikane, Dar-Kigoma one way nauli itabidi iwe TZS. 1,700,000/=

Infact wameshaanza. Kuna Mbunge mmoja jana kasema kwamba ATCL inatoa huduma (almost bure) kwa jamii kwa kile alichokiita "kuchochea maendeleo sehemu nyingine"
Hawa wabunge wa kura za kwenye mabegi ni ovyo sana.
 
Ila Wabongo hasa kwenye hili Jukwaa tuna tabia ya kushabikia Mambo bila kujua,report ya CAG is too technicalities report unahitaji kutumia akili kuliko kutumia makallio kama wafuasi wa CDM.Baba lala salama umeumaliza Mwendo
haya bana mnaowaza kwa kutumia akili za 1977, sisi mtuacheeeeeee na CDM YETUUUU
 
Muda si mrefu watetezi watakuja kusema "actually ATCL inatoa huduma kwa jamii" maana ukisema faida ipatikane, Dar-Kigoma one way nauli itabidi iwe TZS. 1,700,000/=

Infact wameshaanza. Kuna Mbunge mmoja jana kasema kwamba ATCL inatoa huduma (almost bure) kwa jamii kwa kile alichokiita "kuchochea maendeleo sehemu nyingine"
Huo ndo ukweli. Reli na ndege faida zake ni secondary. Faida ya shirika la Ndege ni nyembamba sana ndo maana Virgin alisifiwa kwa kupunguza gharama na EasyJet wakaiga mtindo huo. Bado huwa wanapata hasara, Lakini nchi kuwa na shirika ni muhimu kwa pride na advertisement ya nchi. Siyo kosa!
 
Ukikosa sera utaishia kudandia wa vyama vingine, yeye angetuambia msimamo wa chama chake ni upi kuhusu ATCL? je watauza ndege zote na kuvunja ATCL ili tutegemee ndege za mataifa mengine?
 
ATCL hawana ndege ameshaambiwa wanakodi akienda kwenye balance sheet yao atakutana na asset payable ya ndege walizokodi lakini hawana asset ya ndege.

Serikali on the other hand kwenye hizo ndege itakuwa imesha claim capital allowance na inalipwa rent yake kama kawa.

So technically serikali so far kama mmiliki wa ndege hana hasara na biashara ni nzuri kwa upande wake.

ATCL kama lessse wa ndege ndio mwenye hasara in other words matatizo ya ATCL ni purely management issues unaweza elewa kipindi cha COVID biashara kuathirika; lakini miaka ya nyuma zaidi ni management issue.

Moreover CAG inabidi atueleze ni kiasi gani cha ruzuku ATCL imepata kila mwaka si ajabu sehemu kubwa ilikuwa mwaka jana ambapo shirika limeathirika zaidi.

Manunuzi ya ndege hayakuwa ya busara in the first place, tatizo kuna picha mbaya zaidi inachorwa kwa makusudi kumchafua hayati.
Facts mkuu.

CAG angefafanua wakala wa ndege za serikali kama mmiliki wa hizo ndege amepata hasara au faida kwa kiasi gani
 
Toka mwanzo alizipondaga ndege ila kutwa kucha akawa anazipanda. Hivi kwa nn yeye kwenye katiba yake kajiweka kiongozi mkuu nafasi explicitly yake tu haigombewi kabisa. Bora hata Mbowe nafasi yake inagombewa japo figisu kibao. Halafu sijaelewa hivi kwa nn act walinimweka makamu wa raisi mtu aliyekua ametimuliwa serikalini? Lengo la zito halikua jema bali kutaka kukutanisha hasi na chanya, majibu yakeB
Badala ya kuzungumzia ndege kama mtoa mada alivyotoa mada, umeanza na ACT, vipi, unajielwa kweli?.
 
Back
Top Bottom