1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Nionavyo hapa kuna kazi kweli kweli cdm. Sawa ni haki yake lakini sijui kwanini wanacdm wengi wanawasiwasi na Zito. Mawazo yangu Zito itakapotokea asichaguliwe kugombea urais kwa kupitia cdm, Nasema na mtayakumbuka haya maandishi atahama chama. Ni maandalizi ya siri sana, ila hapa ukiyasema utapigwa mawe kuwa Zito hapendwi wakati hali liko wazi. Yetu macho bana usicheze na ccmafisi wale ni mafia wako tayari na kwa gharama yoyote kufanya lolote kuendeleza ufisadi wao. Kwa kumtafuta mtu wa kuwalinda ni mipango ya kuwagawa wanacdm. Ccmafisi wanasiri nzito ya Zito ambayo hawawezi kuitoa sasa wakati lengo lao bado subiri 2015.
Unaweza ukawa sahihi sana mkuu,na mawazo yako ndio mawazo yaliyopo akilini mwa wana Cdm wengi,kwa hiyo kama Zitto ataamua kuhama chama,litakua jambo la kheri na afya sana kwa chama cha Cdm