Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Nimeona watu wengi wanatumia muda wao mwingi kujadili upuu zi wa Zitto.
Ninaita upu uzi kwa kuwa niliusoma kwenye blog yake na kuutafakari. Kwa upeo wangu naona hana lengo la kugombea Urais, ila ana nia nyingine labda kujiweka juu ya viongozi wote CDM au kuonyesha kuwa yeye ndie kawalea kina Mnyika, Mdee nk na kwamba Dr Slaa hana umuhimu kwake, au pengine lengo lake ni kuonyesha kuwa Januari ni mtu wa muhimu zaidi kwake kuliko wanachama wenzake wa CDM.
Lakini inaleta maana kudhani kuwa lengo lake ni kuivuruga Chadema wakati huu mgumu wa Kampeni Arumeru.
Kuwajulisha tu mnaopoteza muda kwenye hoja za ndugu zitto ni kuwa, huyu Bwana yupo idara ya usalama wa taifa, na alikubali kununuliwa baada ya sakata la buzwagi. Yupo upinzani kama kibaraka wa CCM, anatumika kila inapobidi.
Wanaomjua zitto wanakili kuwa kwa sasa hana unuhimu kwa taifa, na hivyo hana umuhimu kwa Chadema.
Zitto ni mtu anayenunulika kirahisi, anajijua kuwa kwa sasa hakubaliki, na hiyo kutangaza nia kwake ni kwa lengo la kukivuruga CDM.
Ila kama hujanielewa unaweza kwenda Zitto na Demokrasia utasoma alichoandika na pengine kujua nia yake.
Ninaita upu uzi kwa kuwa niliusoma kwenye blog yake na kuutafakari. Kwa upeo wangu naona hana lengo la kugombea Urais, ila ana nia nyingine labda kujiweka juu ya viongozi wote CDM au kuonyesha kuwa yeye ndie kawalea kina Mnyika, Mdee nk na kwamba Dr Slaa hana umuhimu kwake, au pengine lengo lake ni kuonyesha kuwa Januari ni mtu wa muhimu zaidi kwake kuliko wanachama wenzake wa CDM.
Lakini inaleta maana kudhani kuwa lengo lake ni kuivuruga Chadema wakati huu mgumu wa Kampeni Arumeru.
Kuwajulisha tu mnaopoteza muda kwenye hoja za ndugu zitto ni kuwa, huyu Bwana yupo idara ya usalama wa taifa, na alikubali kununuliwa baada ya sakata la buzwagi. Yupo upinzani kama kibaraka wa CCM, anatumika kila inapobidi.
Wanaomjua zitto wanakili kuwa kwa sasa hana unuhimu kwa taifa, na hivyo hana umuhimu kwa Chadema.
Zitto ni mtu anayenunulika kirahisi, anajijua kuwa kwa sasa hakubaliki, na hiyo kutangaza nia kwake ni kwa lengo la kukivuruga CDM.
Ila kama hujanielewa unaweza kwenda Zitto na Demokrasia utasoma alichoandika na pengine kujua nia yake.