Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 75
Wawalipue tuu magamba hao..........
Kambi ya upinzani imesema ni kiongozi wa juu wa serikali, sasa swali,Zitto bora ungewataja tu ya nini ku beep beep? CCM wameishiwa salio hawawezi kupiga.
Kambi ya upinzani imesema ni kiongozi wa juu wa serikali, sasa swali,
kiongozi wa juu wa serikali ni nani? kwa vile mitihani yote nchi hii ni ya kuchagua basi chagua jibu sahihi kati ya haya (a) waziri wa mali asili na utalii (b) waziri mkuu (c) IGP (d)AG (e) Rais.
haaaaaaaaaaaaaha, chupi ya nani tena?Hapo ndo palee chupi inapogonga kinyesi
Kambi ya upinzani imesema ni kiongozi wa juu wa serikali, sasa swali,
kiongozi wa juu wa serikali ni nani? kwa vile mitihani yote nchi hii ni ya kuchagua basi chagua jibu sahihi kati ya haya (a) waziri wa mali asili na utalii (b) waziri mkuu (c) IGP (d)AG (e) Rais.
Opposition wame-come correct, mbona huelewi nini wanaposema kiogozi wa juu wa serikali jiulize juu ziko ngapi? uzuri hawakuwasema kiongozi mwandamizi wa serikali hii legelege bali wamesema moja kwa moja bila kutafuna maneno kuwa ni KIONGOZI WA JUU WA SERIKALI full stop, wameshatafuna sasa unashindwa kumeza, sisi tumeze tu kwa huyo kiongozi wa juu wa serikali na wapambe wake najua ni chungu sana ila watajiju, wanakaribia kunyea ndooFugees wanakwambia when you come, come correct, or don't come at all.
Serikali! Tusubiri labda atajwe halafu Salva, yule mkurugenzi wa habari ikulu atakuja kutoa majibu kama yale ya mkulu wetu kununuliwa suti london.Serikali ndio inayotakiwa kujua (tunategemea inamjua tayari) ni nani na kumtaja. Wao ndio wachague jibu sahihi na kutaja.
Serikali! Tusubiri labda atajwe halafu Salva, yule mkurugenzi wa habari ikulu atakuja kutoa majibu kama yale ya mkulu wetu kununuliwa suti london.Serikali ndio inayotakiwa kujua (tunategemea inamjua tayari) ni nani na kumtaja. Wao ndio wachague jibu sahihi na kutaja.
this is called logical fallacy.Me nashangaa sana,wachagga wametapakaa TZ yote,watumishi wa serekali na wafanyabiashara,lkn mazungumzo yao ya uchademachadema hata hao watumishi,ajabu kilimanjaro wabunge wengi ni ccm,ni kwanini!
Akiwasilisha kambi ya upinzani katika bajeti ya wizara ya fedha Zito Zuberi Kabwe amesema, katika taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuna kiongozi wa juu wa serikali iliyopita akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali walihongwa. Inasemekana waliohongwa na baadhi ya makampuni ya uchimbaji wa mafuta na kwenda kuzificha fedha hizo Uswiss.
Hivyo kambi ya upinzani inaitaka serikali iwataje viongozi hao kabla CHADEMA haijawataja hadharani.
Opposition wame-come correct, mbona huelewi nini wanaposema kiogozi wa juu wa serikali jiulize juu ziko ngapi? uzuri hawakuwasema kiongozi mwandamizi wa serikali hii legelege bali wamesema moja kwa moja bila kutafuna maneno kuwa ni KIONGOZI WA JUU WA SERIKALI full stop, wameshatafuna sasa unashindwa kumeza, sisi tumeze tu kwa huyo kiongozi wa juu wa serikali na wapambe wake najua ni chungu sana ila watajiju, wanakaribia kunyea ndoo
Serikali ndio inayotakiwa kujua (tunategemea inamjua tayari) ni nani na kumtaja. Wao ndio wachague jibu sahihi na kutaja.