clet 8
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,127
- 323
Tunakosea, nafasi ya DAS haipaswi kutekelezwa kisiasa kutokana na msingi wa kazi yenyewe.Sasa Zitto alitegemea mwana ACT akatekeleze vyema ilani ya CCM?
Lakini kwa sababu rais wetu mwema,tunamwacha hainashida tutaenda hivyohivyo.