Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Sasa zitto amejuaje labda Hidaya alikuwa ana cheti feki? Kwani walio temwa ni Hidaya tuu wa ACT? Mbona kuna wana CCM wametemwa tena dakika za mwisho?"Dkt. Bana anaelezaje suala la Abubakar Assenga ambaye aligombea Ubunge jimbo la Kilombero na kushindwa na sasa ni DAS. Mfano wake ndio mfano Hidaya aliyegombea Malinyi. Rais ni mbaguzi wa vyama, simple and clear."
Zitto Kabwe
Zitto alitegemea siku Lowasa akishika wadhifa atachagua makada wa CCM?
Zitto hana hoja ya kusimamia asubiri akiwa Rais afanye anavyo taka yeye!