Zitto ondoka tulishakupa talaka

Zitto ondoka tulishakupa talaka

Status
Not open for further replies.

ericmarimbo

Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
91
Reaction score
37
Hivi huyu mjomba mbona hataki kuondoka? Uchaguzi ndani ya chama umeisha na hajapata nafasi yoyote lakini hataki kuondoka anang'ang'ania kama kupe. Tulishakufukuza ondoka ukajenge ACT yako pamoja na CCM. Kama ni pesa za kinywa mgongo siatapewa na bwana zake wapya wa CCM?

Wasaliti wote wameondoka kabaki Zitto na Shibuda tu.
 
Zitto ndio Chadema, bila zitto chadema ingeshakufa siku nyingi sana
 
zitto ni jemidari na hadhi yake hajaipatia jf
sisi kama watz tunaheshimu sana mchango wake bila kujali itikadi za siasa
 
Hivi siku hizi yuko wapi? Chezea system wewe. Yule mwandishi wa Mwananchi aliyetimkia New habari alitumika kisawasawa kummaliza. Naona hampi hata kurasa ya mwisho kumwandika. Pole toilet tissue, used and discarded.
 
Ukiona watu wanasapoti zitto basi ujue wana ulemavu wa akili bora mchawi kuliko mnafiki hawa wote wanaomsifia zitto humu ndo hao hao wanafiki waliomshauri zitto mpaka akavukuzwa chadema kwa sababu ya usaliti TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA KIJANA CHUKUA HATUA ZA KUWAHAMASISHA VIJANA WENZAKO KUTOIPIGIA KURA CCM 2015 KWA UMOJA WETU TUTAFANIKIWA..
 
zito ni mzigo , hata ccm wanajua hawawezi kuubeba
 
Hivi huyu mjomba mbona hataki kuondoka? Uchaguzi ndani ya chama umeisha na hajapata nafasi yoyote lakini hataki kuondoka anang'ang'ania kama kupe. Tulishakufukuza ondoka ukajenge ACT yako pamoja na CCM. Kama ni pesa za kinywa mgongo siatapewa na bwana zake wapya wa CCM?

Wasaliti wote wameondoka kabaki Zitto na Shibuda tu.

.,we jamaa hujui akaunti ya ujerumani..?shagavuta mavumba kazi walizo tumwa yeye na hamad wa cuf zimeshindwa kumaterialize,so wanalindiwa heshima wasifukuzwe kwa aibu...
 
Scrap. Chama ni taasisi hakuna alyemkubwa kuliko chama. Maarufu nichadema si mtu. Hata angeondoka Mbowe au Dr Slaa chadema itabaki

Chadema ni Mbowe na Slaa, bila wao chama kitakufa, wamekitoa mbali na wamekijenga mpaka kufikia hapo kilipo. kamanda husikilizi hata hoja za viongozi wako, uchaguzi wote wa chadema umejengwa na hoja kuwa mbowe kajenga chama anastahili kuendelea ili akijenge zaidi, makamanda tukamkubali. sasa hapo chadema si mbowe, bila mbowe hakuna wa kuendeleza chama, tunamuombea maisha marefu, mabomu ya police wa ccm yampitie mbali chadema yetu isije ikafa.
 
Agenda ya maandamano imeshindikana leo mmemugeukia Zitto
 
Hivi huyu mjomba mbona hataki kuondoka? Uchaguzi ndani ya chama umeisha na hajapata nafasi yoyote lakini hataki kuondoka anang'ang'ania kama kupe. Tulishakufukuza ondoka ukajenge ACT yako pamoja na CCM. Kama ni pesa za kinywa mgongo siatapewa na bwana zake wapya wa CCM?

Wasaliti wote wameondoka kabaki Zitto na Shibuda tu.

Vp maandamano mmeshindwaaaaa??
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom