Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

...daah kirusi kinatafuta pa kuingilia kuharibu upinzani, mbona alipokuwa chadema alionyesha wazi haungi mkono msimamo wa chama/ukawa hasa kwenye bunge LA katiba. Leo nini kimemgeuza akaipenda ukawa ghafla. plan c at work...
 
...daah kirusi kinatafuta pa kuingilia kuharibu upinzani, mbona alipokuwa chadema alionyesha wazi haungi mkono msimamo wa chama/ukawa hasa kwenye bunge LA katiba. Leo nini kimemgeuza akaipenda ukawa ghafla. plan c at work...

well said, sioni umuhimu wa yeye kujoin ukawa. Waendelee na muungano wao vyama visivyo na wawakilishi bungeni, watuachie ukawa yetu
 
hatumtaki hata kumsikia,kama angekuwa anaunga mkono angeanzia bungen,leo hii kaona atashuka kisiasa anaanza kufagilia ukawa

Na kuna waliojiunga na ACT jana huku wakitamba wapo kuisambaratisha CHADEMA.... Leo mwenyekiti wao mtarajiwa akisema anaikubali UKAWA....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Zitto ni mnafiki amesahau juzi alisema UKAWA ni wasakatonge hata wiki haijapita kaanza ku feel uzito wa kuendesha chama.

Angekuwa anamaanisha anachokisema asingeanzisha chama kipya kuzidi kugawa kura, aache unafiki aungane na SAU hatuwezi kufukuza nyoka kwa mlango huu na kumrudisha kwa mlango ule.
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.

Tangu UKAWA ilipoanza mpaka ilipofika Imput ya Zitto ni hipi?
W
UKAWA Inaweza kuwepo bila Zitto, na UKAWA itayumba au kupotea kabisa pale tu Zitto na Chama chake watakapokubaliwa kuingia
 
Akihojiwa na radio ya Ujerumani (DW) , Zito amesema ili kuing'oa CCM madarakani vyama vya upinzani vinapaswa kushirikiana au kuungana!

Hivyo anaunga mkono ushirikiano wa UKAWA!


Ileje


Sasa huyo ZITTO platform ya CHAMA CHAKE KIPYA ni NINI ???

Sababu ameondoka CHADEMA sababu anasema kuna Imani alizonazo CHADEMA walishindwa kuzikubali au kuzipokea ndani ya CHAMA...

Hiyo Platform ndio itakayowawezesha Wananchi kujiunga na chama hicho; Isiwe ikawa anataka UMIMI -- kuanza kuchaguana kwa SURA na sio vyama hence Mnayempenda kwenye chama hicho akipata Madhara, na nyie Mnapata Madhara na kukihama CHAMA...

Mfano; Angalia CHAMA CHA DEMOCRAT cha USA... kina Platform kibao na zingine zinawagawa wanachama - lakini kuna MOJA au MBILI zinawaunganisha... i.e GAY's -- BLACK AMERICANS hawataki kusikia kitu Mimi ni GAY au LESBIAN wanakufukuza hata NYUMBANI kwao... Lakini Platform ya kuwakubali GAY iko ndani ya chama cha DEMOCRAT na pia PLATFORM ya SOCIAL SECURITY Assistance ambayo BLACK AMERICANS wanaipenda... HENCE nenda rudi... BLACKS wanaichagua DEMOCRAT...

Sasa ni kwanini ZITTO asikifanye chama alichokitoka kiwe na PLATFORM MBALIMBALI kuliko hiyo MOJA aliyoondoka nayo???

It is a SHAME; Kila Mwafrika AFRICA ni URAIS TUUUUUUUU...
 
kila mtu anauhuru wa kutoa maoni ili mradi tu avunji sheria za nchi,kwa kauli ya zzk UKAWA ndiyo habari ya mjini, ccm wakisikia UKAWA/ CHADEMA wanaweweseka sana
 
CCM yalisema UKAWA haiwezi kufika mwezi mmoja tangu waondoke bungeni BMK, wakasema ati posho itawarudisha wengi. Hakurudi hata mmoja. Wakasema madaraka yatawasambaratisha kwani kila mmoja ana uchu wa madaraka. Mpaka leo, uchaguzi wa serekali za mitaa umeonesha ukomavu wa UKAWA yene miezi tuu tangia izalike.

Sasa, walisema akiondoka ZZK CDM kwisha habari. Wakaona hakuna mtikisiko. Sasa wanataka kumleta UKAWA ili waseme CDM ni wabaguzi, lazima wampokee kwani ni wa upinzani.

Waambieni maccm, ACT si wapinzani, walianzishwa na ccm kuuharibu upinzani, wamefanikiwa kumnasa huyo mbigili zzk ili akiweza tu kuupenya upinzani, baasi aanze fitna zake na mbwembwe zake atuvuruge. Tumejitosheleza, hatuhitaji mtu mwenye mvuto wake pekee, tunataka chama chenye mvuto sio mtu.

Ushauri kwa zzk, amwone mzee wa Kiraracha, amwone mzee mapesa, wako kina UPDP wako wengi tu waliokaa BMK wakivuta noti zao. Huo ni mtaji tosha kununulia kura.

Sisi tulio waachia hizo noti, hatuna kitu cha kuhonga, tutawaendea wananchi tuwaeleze ya moyoni hatuhitaji kujulikana kwa mtu ni chama. UKAWA yatoshaaaaaa.
 
Wosia wa msaliti kwenda kwa wasaliti wote nchi nzima, vibaraka wa maCCM, watumikia matumbo wasiyo haya wala soni usoni,
ACT ni kikundi kidogo cha watu wafitini, wadini, wakabila wasio hekma wenye husda moyoni, hakika historia itakumbuka wapuuzi hawa wenye uchu wa madaraka.

Wanaanda jeshi mbuzi kupambana na nguvu ya umma, wana damu ya isaliti na watazidi kusalitiana milele mpaka vizazi vyao 7 vipite, watanzania tumewabaini tawi la CCM n
 
Back
Top Bottom