Ramadhan Rajabu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 578
- 1,105
Aisee kumbePungukiwa pesa utapambana kupata,pungukiwa CD4 lazma dish liyumbe
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Well...ziko (present tense)...hujui kukusu kesho whether true or not, usikejeli hali ya afya ya mwenzio...ogopa sana 'hand of fate' isije kukushukia either kwako au kwa familiayako. Ni hayo tu...kama una masikio utasikia
Bunge halina mvuto tena ,uonevu na vijembe.Heri kushinda Facebook.Huyu naye atuambie kwanini kaamua kushinda feshibuku badala ya kuingia bungeni.
Wa LumumbaMtaa Upi?
Hii ID itakuwa ni ya Pogba mwenyeweMtaa Upi?
Kwahiyo kama hazikumpata dereva yeye ndo aliyempiga Lissu risasi? Ujinga gani huu? Si heri ukae kimya ufiche upumbavu wako?Mtaani wanajua Dereva wa Tundu Lissu kakwepa risasi zote 38 zilizoelekezwa kwenye gari aliyokuwemo na hakupatwa hata na mchubuko wa vipande vya Kioo vilivyo vunjwa
Hata mama yako anajua lisu kapigwa risasi na serikali ya magufuliMtaa Upi?
NgarnaMtaa Upi?