Zitto ni kiongozi shupavu

Zitto ni kiongozi shupavu

Status
Not open for further replies.

zuhra

Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
24
Reaction score
2
Kama utakuwa uko huru kifikra wala sio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini, kwann nasema ivyo? Yeye ndo chachu ya ukombozi, tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja, tazama michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani.

Mimi ZITO hanijui wala simjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.Watu wanaweza kumsema vibaya kwa kuwa hawapendi ukweli wanafata majina makubwa ya chama ambapo wasingependa uhoji hoja zao.

You have to accept anything they say and don challenge. Wapo watu hawaangallii historia ZITO ndio amewa-inspire vijana wengi kupenda siasa.

Ningependa Zitto awe rais wangu wa 5 kwasababu ana uwezo,anajiamini na ana rekodi nzuri.Hakubali kuburuzwa pale haki inapopindishwa.

Ila najua vikwazoni vingi nawaona madikteta wa hoja,mashabiki wa watu badala ya sera ha hoja za mtu.

Namuombea kwa Mungu amlinde na kila mwenye nia mbaya na mkombozi huyu wa Taifa la Tanzania.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA

 
Kama utakuwa uko huru kifikra wala cio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini kwann nasema ivo yy ndo chachu ya ukombozi tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja tazamA michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani mm ZITO hanijui wala cmjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.watu wanaweza kumsema vibaya kwa kuwa hawapendi ukweli wanafata majina makubwa ya chama ambapo wasingependa uhoji hoja zao u have to accept anything they say and don challenge. Wapo watu hawaangallii historia ZITO ndio amewaspire vijana wengi kupenda siasa. NINGEPENDAA ZITO AWE RAIS WANGU WA5. SBB ANAUWEZO,ANAJIAMINI,ANARECORD NZURI, HAKUBALI KUBURUZWA PALE HAKI INAPOPINDISHWA. ILA NAJUA VIKWAZO NI VINGI NAWAONA MADIKTETA WA HOJA,WASHABIKI WA WATU BADALA SERA NA HOJA ZA MTU. NAMUOMBEA MUNGU AMLINDE NA KILA MWENYE NIA MBAYA NA MKOMBOZI HUYU WA TAIFA LA TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA
Ni kweli ameingia bungeni akiwa kijana mno lakini hii kwa mtizamo wangu inaonyesha jinsi wananchi walivyo na kiu ya mabadiliko na kumbuka Mrema alivyoichemsha CCM
Shida kubwa ya Zitto ni kuwa hasimami katika kivuli cha Chama,anapenda kusimama peke yake.
Kuna mambo ambayo pia hayaeleweki vizuri na yanatusumbua sisi mashabiki wake na mojawapo likiwa mawasiliano yake na kaimu mkuu wa UWT,hili ni jinamizi ambalo litamwandama sana.
 
Kama utakuwa uko huru kifikra wala cio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini kwann nasema ivo yy ndo chachu ya ukombozi tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja tazamA michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani mm ZITO hanijui wala cmjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.

Mkuu, utasema mengi sana juu ya Zitto wala sintakukatalia, nitasema ni kweli kabisa. Ila nitakukumbusha mambo matatu ambayo ndio tatizo kubwa la Zitto;

- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko watu wote Chadema - hivyo anapaswa kuwa Mwenyekiti wa Chadema
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko wabunge wote - hivyo anapaswa kuungwa mkono kila hoja anayotoa
- Zitto anadhani yeye ndie mwenye busara kuliko Watanzania wote - hivyo anapaswa kuwa raisi wa nchi hii
 
sasa mbona umekuja mbiiiyooo ukiwa kwa style ya accont mpya.si ajabu we ni masalia au ni zito mwenyewe.

Hivi ni kweli kipindi hichi tunahitaji post kama hizi kukijenga chama?
Posti za aina hii ni za kuleta LIGI tuu na kupotezeana muda na malengo tuu!
 
Kama utakuwa uko huru kifikra wala cio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini kwann nasema ivo yy ndo chachu ya ukombozi tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja tazamA michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani mm ZITO hanijui wala cmjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.watu wanaweza kumsema vibaya kwa kuwa hawapendi ukweli wanafata majina makubwa ya chama ambapo wasingependa uhoji hoja zao u have to accept anything they say and don challenge. Wapo watu hawaangallii historia ZITO ndio amewaspire vijana wengi kupenda siasa. NINGEPENDAA ZITO AWE RAIS WANGU WA5. SBB ANAUWEZO,ANAJIAMINI,ANARECORD NZURI, HAKUBALI KUBURUZWA PALE HAKI INAPOPINDISHWA. ILA NAJUA VIKWAZO NI VINGI NAWAONA MADIKTETA WA HOJA,WASHABIKI WA WATU BADALA SERA NA HOJA ZA MTU. NAMUOMBEA MUNGU AMLINDE NA KILA MWENYE NIA MBAYA NA MKOMBOZI HUYU WA TAIFA LA TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA
CHADEMA ingekuwa salama sana bila Zitto. Haya yote ya akina Rwakatare source ni Zitto na tamaa zake. Akina shonza na Mwampamba wanahangaika na kulialia jamvini sababu ni Zitto na tamaa zake. Mara kalishwa sumu Bagamaoyo, mara wamelegeza tairi apate ajali. who is he by the way? anajifanya yeye nimaarufu sana, akilazwa hata kwa malaria anawaita Mwananchi wampige picha wamtoe gazetini. Zitto ana MANIC disoder, anapenda sana kuforce attention. Umaarufu mzuri ni ule unaopata naturally sio wa kununua waandishi na kutengeneza mitandao na ushirikina.
 
zitto kiogozi shupavu wa masalia, bingwa wa kuua panya aliyeaga kwao lekatutigite,mbeya,mchonganishi na muongo.
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Nimefanya utafiti wa kina nimegundua kuwa Zito ndio jembe pekee linaloweza kupata kura ya urais kama akigombea kwani baada ya sakata lililopo la lwakatare Jina la Dr limeanza kufifia kwa kasi kwani muda si mrefu Ludo ataanza kutoa siri.
Wanachama wengi wa mikoani wanamkubali sana zito kuliko Slaa ambaye anaonekana kukubalika maeneo ya njiro na karatu tu. juzi niliongea na vijana wenzangu pale unga ltd na wengi walionekana kumsifia sana ZZK
 
Kweli Zitto ndie atakuwa Raisi wetu ajaye ,Kikwete alishasema akiwa Kigoma kwenye uzinduzi wa daraja la mto malagarasi kwamba atakuwa Raisi wa Mwandiga tutamshangilia sana
 
Naona kuna umuhimu wa kulipia kila post vinginevyo tunakoelekea si kuzuri!
 
Nimefanya utafiti wa kina nimegundua kuwa Zito ndio jembe pekee linaloweza kupata kura ya urais kama akigombea kwani baada ya sakata lililopo la lwakatare Jina la Dr limeanza kufifia kwa kasi kwani muda si mrefu Ludo ataanza kutoa siri.
Wanachama wengi wa mikoani wanamkubali sana zito kuliko Slaa ambaye anaonekana kukubalika maeneo ya njiro na karatu tu. juzi niliongea na vijana wenzangu pale unga ltd na wengi walionekana kumsifia sana ZZK
ovyooo!
 
Zeroooooo hizi na hivi tume bado inaendelea na uchunguzi hali inazidi kuwa mbaya!
 
Thrid yako na zitto wako leta 2014,csi 2nakijenga chama kwa sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom