Mau Mau
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 673
- 478
Ikumbukwe ZITTO KABWE alipoenguliwa CHADEMA kwa tuhuma za usaliti pamoja na fitina alizokuwa akifanya lakina alikuwa ni mwenye hekima ktk mambo mbalimbali.
ZZK hakufanya kampeni kwenye media kuchafua viongozi wake,alitulia na mara chache alionekana FACEBOOK na TWITTER, lakini dr. Slaa ambae ni mkubwa karibu mara 2 ya umri wa Zitti tena akijiita padre mstaafu anahangahika huku na huku kuvuruga upinzani kuiondoa CCM madarakini.
Jana star tv alikiri ana kinyongo na EL kupeperusha bendera ya UKAWA na kwamba hata yeye ana moyo wa nyama, kaamua kuweka kando heshma yake na mafundisho ya kiroho na kuamua kulipiza KISASI kwa CHADEMA ili wakose wote.
Nani asiyejua STAR TV imekuwa chombo knachotumika kumpigia kampeni Magufuli? Sote tumeona DIRECTIVE QUESTION ktk kpindi cha jana usiku ili kumsafisha Slaa na kuikandamiza UKAWA!
Wengi huamini uzee ni dawa lakini kwa Dr. Slaa ni tofauti.
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA.
ZZK hakufanya kampeni kwenye media kuchafua viongozi wake,alitulia na mara chache alionekana FACEBOOK na TWITTER, lakini dr. Slaa ambae ni mkubwa karibu mara 2 ya umri wa Zitti tena akijiita padre mstaafu anahangahika huku na huku kuvuruga upinzani kuiondoa CCM madarakini.
Jana star tv alikiri ana kinyongo na EL kupeperusha bendera ya UKAWA na kwamba hata yeye ana moyo wa nyama, kaamua kuweka kando heshma yake na mafundisho ya kiroho na kuamua kulipiza KISASI kwa CHADEMA ili wakose wote.
Nani asiyejua STAR TV imekuwa chombo knachotumika kumpigia kampeni Magufuli? Sote tumeona DIRECTIVE QUESTION ktk kpindi cha jana usiku ili kumsafisha Slaa na kuikandamiza UKAWA!
Wengi huamini uzee ni dawa lakini kwa Dr. Slaa ni tofauti.
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA.