PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,455
Kuna stori imejificha hapa,
Katika kujitetea alipokuwa kikaangoni eatv, zitto kabwe ameeleza kuwa alishindwa kujiunga na Nccr kwasababu kunaugomvi. Hivyo akaamua kuanzisha chama kingine kinachofanana na nccr.
Tunamwomba zitto atueleze Nccr kuna ugomvi gani uliomfanya ashindwe kujiunga nao?.
Katika kujitetea alipokuwa kikaangoni eatv, zitto kabwe ameeleza kuwa alishindwa kujiunga na Nccr kwasababu kunaugomvi. Hivyo akaamua kuanzisha chama kingine kinachofanana na nccr.
Tunamwomba zitto atueleze Nccr kuna ugomvi gani uliomfanya ashindwe kujiunga nao?.