Zitto nakupa wiki moja uondoke CHADEMA

pole sana kaka CDM ilikuepo na itakuepo kwa sapoti ya watz na co MSALITI ZITTO

bila zito chadema ingeshakufa kitambo, huo usaliti ni wa huko kwenu ufipa , kwa watanzania zito ni shujaa
 
Malengo yake yalikuwa kukiua chama,''nitakuwa wa mwisho kuondoka'' ili aondoke.
Kwa sasa kapigwa ganzi kwa jinsi chama kinavyopeta.
Akiangalia mafanikio kwenye uchaguzi wa ndani anagundua kuwa anaelekea kuwa wakwanza kuondoka.
Zitto ondoka kabla hatujakutolea vyombo kwa nguvu wakati unasubiri mahakama
 
Yes. Tumfukuze kwanguvu.

Kiukweli nayachukia maccm lakini kwa ubaguzi huu wa chagadema dhidi ya zitto ni bora hayo maccm yaendelee tu....mbaya zaidi wafuasi wa chadema wanaonekana kuwa wamezaji wa lolote kutoka kwa viongozi hata kama ni pumba.
 
Kiukweli nayachukia maccm lakini kwa ubaguzi huu wa chagadema dhidi ya zitto ni bora hayo maccm yaendelee tu....mbaya zaidi wafuasi wa chadema wanaonekana kuwa wamezaji wa lolote kutoka kwa viongozi hata kama ni pumba.

Kaa pembeni humjui Zito wewe. Nenda huko huko ccm
 
Zitto kwisha habari yake.

akuna anae mwamini tena.
 
Mnataka asipate pensheni yake ya ubunge? nyie watu vipi? yaani aziachie zaidi ya 40m ?
 

Kutumika kubaya sana, Mwl. Nyerere aliwahi kusema umasikini kuliko wote ni umasikini wa fikra! Wewe ndugu yangu naona unatumika vibaya na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.

Kwanza wewe ni nani mpaka umwambie ZZK kwamba aondoke ndani ya Chama? Kati yako wewe na ZZK ni nani amekijenga chama na kukifikisha hapo kilipo?
Na kwa nini unamambia aondoke kwa kutaja tuhuma bila kutoa ushahidi, ni wapi umewahi kusikia mtu akihukumiwa adhabu kwa tuhuma bila kuthibitishwa?

Acha kutumika kama toilet paper, kama ni tuhuma tu mbona Mwenyekiti wa CDM ana tuhuma kibao hujamwambia aondoke?
Anatuhumiwa kuchukua rushwa kwa Nimrrod Mkono ili asipige kampeni jimboni kwake na yeye Mkono apite bila kupingwa na Mkt hajawahi kukanusha, kupokea rushwa siyo kosa? Akipewa nchi si ndio itakuwa balaa!
Mwenyekiti pia alibadilisha safari ya mbunge ili akale nae bata saari Dubi kwa hela ya serikali, huo si ufisadi?

Kama mtu anahukumiwa kwa tuhuma tu, Dr. Slaa si anatuhumiwa kumtelekeza mke wake na kwenda kupora mke wa mtu? Huo ndo mfano wa kiongozi bora, mbona hujamwambia walau ajiuzuru nafasi ya katibu mkuu wa chama?
 
Kiukweli nayachukia maccm lakini kwa ubaguzi huu wa chagadema dhidi ya zitto ni bora hayo maccm yaendelee tu....mbaya zaidi wafuasi wa chadema wanaonekana kuwa wamezaji wa lolote kutoka kwa viongozi hata kama ni pumba.

Hapo wanatupa picha jinsi watakavyokuwa endapo wakikamata dola.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…