Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Zitto ni ugonjwa kwa walio wengi wasio ijua Chadema vizuri, bila Chadema no Zitto na bila Zitto hakuna Chadema imara (atleast kwa sasa).
Kitu kimoja cha kukinote hapa ni kwamba Chadema ndio chama tegemewa kuchukua madaraka 2015 au 2020, kwa hiyo lazima kutaibuka migongano ya kimaslahi kwa sababu sio mtu mmoja tu anayehitaji madaraka kwenye chama hicho, ni kila mmoja.
Kwa sasa wagombea urais kupitia CDM ni Dr Slaa, Shibuda, Mh Mbowe na Mh Zitto (kama kuna wengine tutajua soon), hivyo migongano ya kisiasa lazima itokee na hii inaambatana na wafuasi wa upande mmoja kumshambulia kiongozi wa upande mwingine.
Hizo ni changamoto ambazo chama cha siasa lazima kikumbane nazo, so swala la Zitto hatumwoni hapa au pale na kuanza kutangaza kwamba sio mshiriki mzuri bila kujiuliza kapewa majukumu mengine yapi ni la kishabiki zaidi.
M4C
Kitu kimoja cha kukinote hapa ni kwamba Chadema ndio chama tegemewa kuchukua madaraka 2015 au 2020, kwa hiyo lazima kutaibuka migongano ya kimaslahi kwa sababu sio mtu mmoja tu anayehitaji madaraka kwenye chama hicho, ni kila mmoja.
Kwa sasa wagombea urais kupitia CDM ni Dr Slaa, Shibuda, Mh Mbowe na Mh Zitto (kama kuna wengine tutajua soon), hivyo migongano ya kisiasa lazima itokee na hii inaambatana na wafuasi wa upande mmoja kumshambulia kiongozi wa upande mwingine.
Hizo ni changamoto ambazo chama cha siasa lazima kikumbane nazo, so swala la Zitto hatumwoni hapa au pale na kuanza kutangaza kwamba sio mshiriki mzuri bila kujiuliza kapewa majukumu mengine yapi ni la kishabiki zaidi.
M4C