Zitto alikuwa USA na sasa yuko Netherlands anahangaikia mambo ya Oil and Gas Master plan ili tusije lizwa kama ilivyo kwenye madini ya dhahabu.
Ameenda pick best practises nasi tuzitumie
M4C Manyara haijaenda bado tena ukome kusema uongo alienda kule kwa mwaliko Gekule wakati akipita kuelekea kwenye kesi yake.