Nimekuwa nikifuatilia operation ya vua gamba vaa gwanda katika sehemu mbalimbali. Mhe. Zitto Zuberi Kabwe haonekani kwenye mikutano ya hadhara. Kama unajua sababu ambazo zinamfanya mheshimiwa huyu kutoshiriki tupia hapa.
Peoples
Power
Hakuna kulala
mpaka kieleweke
Peoples
Power
Hakuna kulala
mpaka kieleweke