chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,136
Atasema: Mama anakwenda KUIIMARISHA ACT huko Kilimanjaro..Hawezi kosa la kusema. Ngoja tumsikie atachosema, maana tuki msemea itaoneka tumetumwa.
Atasema: Mama anakwenda KUIIMARISHA ACT huko Kilimanjaro..Hawezi kosa la kusema. Ngoja tumsikie atachosema, maana tuki msemea itaoneka tumetumwa.
Alishaunga mkono kitambo, kumbuka kabla ya kutangazwa uteuzi hufanyika wiki mbili kabla ya tangazo(vetting) n.k, hivyo kwenye chama walishaongea mkuu.Siku hizi ukimsikia Zitto anazungumza unabaki unajiuliza..
is this real?
Nimemsikia akisema atagombea Urais wa TFF
nikabaki na maswali tele...Urais wa TFF ndo shida kuu ya watanzania kwa sasa?
Nilifikiri ukiwa kiongozi wa kisiasa kwanza kabisa unakuwa busy na
mambo makuu yanayo wasumbua wananchi kwa kipindi hiko
sidhani Urais wa TFF inaangukia huko
Sasa mara nikasikia Rais kamteua Kitila Mkumbo..
ajabu ilikuwa kwa Zitto kuunga mkono teuzi hiyo
Sasa leo Mwenyekiti wa ACT anaenda kuwa mkuu wa mkoa..
imagine that....
Sijui na hili Zitto utatuambiaje?
Utaunga mkono ni sahihi pia na jambo jema?
Wenzao wapi?yaani CDM ni mwenzake na ACT?Huo ujinga utakuwa unakunywa mbegeUjira wa ACT kutumika dhidi ya upinzani halisi ndo huu mnauona sasa. Wanalipwa vyeo kwa kazi walioifanya kuwasaliti wenzao. Next, Zitto atapewa offer ya cheo na yeye. Halafu hapo ndo ACT itakuwa imekufa kabisaaaa. CUF Bara tayari imeshawekwa mfukoni, kupitia Lipumba.
Sasa ninaamini Zitto na ACT yake ni nyumba ndogo tu ya CCM. Na zile tuhuma za usaliti dhidi ya Chadema, sina shaka tena kuwa zilikuwa za kweli 100%.
Amesha unga mkono na kukisifia chama chake kuwa ni gogo la ubani na kuwaporomishea maneno wanao ibeza hatua hiyo kuwa ni manyumbuSiku hizi ukimsikia Zitto anazungumza unabaki unajiuliza..
is this real?
Nimemsikia akisema atagombea Urais wa TFF
nikabaki na maswali tele...Urais wa TFF ndo shida kuu ya watanzania kwa sasa?
Nilifikiri ukiwa kiongozi wa kisiasa kwanza kabisa unakuwa busy na
mambo makuu yanayo wasumbua wananchi kwa kipindi hiko
sidhani Urais wa TFF inaangukia huko
Sasa mara nikasikia Rais kamteua Kitila Mkumbo..
ajabu ilikuwa kwa Zitto kuunga mkono teuzi hiyo
Sasa leo Mwenyekiti wa ACT anaenda kuwa mkuu wa mkoa..
imagine that....
Sijui na hili Zitto utatuambiaje?
Utaunga mkono ni sahihi pia na jambo jema?
Kwani alikuwa na ndoto zipi hizo against Lowasa?Jakaya kumkata Lowassa na hatimaye Lowassa kuhamia Chadema kuliyeyusha Ndoto nyingi sana za Kijana Zitto lakin ndio Siasa
Alianza na 2015Boss labda(labda) kaona TFF kuna matatizo anataka kuyatatua pia. Au matatizo ya mpira umeya exclude kwenye matatizo ya Tanzania?
ACT, kwa teuzi hizi 2020 tutegemee kumsapoti jamaa kwa vyovyote vile.
Tuanzungumza kwa documents zilizopo kwa msajili wa vyama vya siasaThe Boss, is it true kuwa Mghira ni Mwenyekiti wa ACT au ni gheresha ya Zito! Zito ni nani? if you are a good follower of siasa za hapa, of recent Mghira alitoweka kabisa katika siasa za ACT!
ahaaaaNjaaa haijawahi kumuacha mwanasiasa salama