Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Hata juzi wakati bashiru anataka kuadress pale nkrumal hakumuona wakati amekaa pale baada ya zito kuona bashiru hana madhara kwake akajiruhusu mwenywe aonekane ndani ya dk mbili tu baadae akapotea. Mnakumbuka bashiru alidi zitto amekimbia lakini baada ya dk chake akamuona hakuyokea nje alikuwepo palepale. Zito ukimtaka kumtafuta kwa shari humuoni au unaona bwawa tu
 
Kama mh zitto anatishwa na wakubwa asiongelee utekwaji wa Mo basi akina BASHITE watakuwa wanahusika kwenye utekaji
 
Ukurasa wa Musiba umefungwa. Matokeo lini. Aina ya viwanda havipo ulaya
 
Watu wategemee nini kutoka kwa jingalao? Ujinga tu. Hakuna hoja. Kuimba sifa na kuikingia kifua serikali.
 
Acha uongo kwani zitto kazungumzia uchawi?
Jamaa anajua kucheza na mazwazwa yasiyojulikana kama yanaamini ushirikina..

Uchawi ungekuwepo tungetumia software za asili kumtafuta MO nadhani tungempata siku ile ile
 
Ni kumpuuza kama alivyopuuzwa tangu awali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…