Vipi kuhusu raisi wa nchi na Mwenyekiti wa chama?Habari wana JF,
Leo naomba nizungumzie kofia mbili za mbunge wa Kigoma manispaa ujiji.
Kofia hizo ni;
a) Mbunge wakigoma manispaa ya ujiji
b)Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.
Sasa wapi penye uzito? Hakuna mtu aliyeweza kushika mambo mawili na yote yakaenda kwa usahihi.
Majukumu ya kofia ulizonazo ni kama yafuatayo;
a) Kuwatumikia wananchi wa kigoma ujiji, hasa wananchi wanyonge. wanapoonewa!
b)Kutetea wanyonge jimboni kwako kila mda uhitajikapo.
c)Kusimamia kazi za chama chako.
d)Kubuni njia za kukuza chama.
e)Kuwaletea wananchi wa Kigoma manispaa maendeleo mfano barabara, maji, umeme wa uhakika n.k.
f)Mengineyo yaliyojificha.
Ndugu yangu Zitto naona sasa hivi unapambania chama chako huko Dar es Salaam. Kumbuka kuwa 2020 itafika. wananchi kama hawatapata maendeleo huko mbele ubunge utausikia mtamboni.
Mwisho: Mshika mbili moja humponyoka.
Nawasilisha!
Huu uzi hauna cha kuchangia. Nakushauri uondoe kwani ni aibu.sasa kama huna cha kuchangia si ungekaa kimya tu. hujielewi kabsa.
Mbona wachaga huwa wanaungana mkono kwa kila jambo alakini sisi waha tunachukiana sana? Mahusuda mahusuda tu ukipigwa ule wimbo kigoma ndio tunajifanya tunapendana.Nimesha kuchoma sindano, tulia dawa ikuingie vizuri.
OvyoooooooooHabari wana JF,
Leo naomba nizungumzie kofia mbili za mbunge wa Kigoma manispaa ujiji.
Kofia hizo ni;
a) Mbunge wakigoma manispaa ya ujiji
b)Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.
Sasa wapi penye uzito? Hakuna mtu aliyeweza kushika mambo mawili na yote yakaenda kwa usahihi.
Majukumu ya kofia ulizonazo ni kama yafuatayo;
a) Kuwatumikia wananchi wa kigoma ujiji, hasa wananchi wanyonge. wanapoonewa!
b)Kutetea wanyonge jimboni kwako kila mda uhitajikapo.
c)Kusimamia kazi za chama chako.
d)Kubuni njia za kukuza chama.
e)Kuwaletea wananchi wa Kigoma manispaa maendeleo mfano barabara, maji, umeme wa uhakika n.k.
f)Mengineyo yaliyojificha.
Ndugu yangu Zitto naona sasa hivi unapambania chama chako huko Dar es Salaam. Kumbuka kuwa 2020 itafika. wananchi kama hawatapata maendeleo huko mbele ubunge utausikia mtamboni.
Mwisho: Mshika mbili moja humponyoka.
Nawasilisha!
Labda magogoni ya ujijiKwa taarifa fupi ni kwamba iko siku ZITTO KABWE ataingia magogoni na kua raisi wa jmt.
Habari wana JF,
Leo naomba nizungumzie kofia mbili za mbunge wa Kigoma manispaa ujiji.
Kofia hizo ni;
a) Mbunge wakigoma manispaa ya ujiji
b)Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.
Sasa wapi penye uzito? Hakuna mtu aliyeweza kushika mambo mawili na yote yakaenda kwa usahihi.
Majukumu ya kofia ulizonazo ni kama yafuatayo;
a) Kuwatumikia wananchi wa kigoma ujiji, hasa wananchi wanyonge. wanapoonewa!
b)Kutetea wanyonge jimboni kwako kila mda uhitajikapo.
c)Kusimamia kazi za chama chako.
d)Kubuni njia za kukuza chama.
e)Kuwaletea wananchi wa Kigoma manispaa maendeleo mfano barabara, maji, umeme wa uhakika n.k.
f)Mengineyo yaliyojificha.
Ndugu yangu Zitto naona sasa hivi unapambania chama chako huko Dar es Salaam. Kumbuka kuwa 2020 itafika. wananchi kama hawatapata maendeleo huko mbele ubunge utausikia mtamboni.
Mwisho: Mshika mbili moja humponyoka.
Viongozi wengi wa vyama vya siasa ni wabunge, Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbatia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, inategemewa Kikwete ambaye ni raisi atakuwa mwenyekiti wa CCM soon...... hoja yako haina mashiko
Nawasilisha!
Nyinyi wachaga hamutapewa uraisi kamwe kamwe mtaishia kuiona kwenye picha tu.Labda magogoni ya ujiji
Mwami atakuwa rais wa nchi ya mwandiga labda[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nyinyi wachaga hamutapewa uraisi kamwe kamwe mtaishia kuiona kwenye picha tu.
Nafasi aliyonayo Zitto kwenye chama chake ni kama katibu mkuu ktk mfumo wa vyama vingine, na katibu mkuu ni mtendaji wa kazi za chama kila sikuLeo ndio umejua mshika mbili moja umponyoka? Mbona JK alikua Rais na Mwinyekiti wa CCM? Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA na ni Mbunge na vyama vyao vinaendelea vizuri? kwanini iwe kwa Zitto tu?
Naomba unisaidie kwa facts kosa zito ni nini hasa?ZZK hajitambui mpaka sasa. Kibaya anataka kupambana na dola akidhani huu ni wakati wa kucheka na kufanya mzaha. Mlio karibu naye mshaurini kuwa hiki ni kipindi cha kufanya kazi! Dr. Magufuli katurudisha Eden tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu na siyo porojo!
Au kosa la zito ni kutaka kujadili bajeti ya magu kwa mkutano wa ndani?ZZK hajitambui mpaka sasa. Kibaya anataka kupambana na dola akidhani huu ni wakati wa kucheka na kufanya mzaha. Mlio karibu naye mshaurini kuwa hiki ni kipindi cha kufanya kazi! Dr. Magufuli katurudisha Eden tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu na siyo porojo!
Tuambiane ukweli bila unafiki wachaga munahamu kubwa ya kuitawala nji hii.angalia mtei,mrema,mbowe.nk.nk. alafu unasema ukabila hakuna.Mwogope sana mtu anayezungumzia ukabila!