Sasa napata picha ni kwanini Slaa anahangaika kuwa Raisi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pesa anayolipwa ndani ya chama kama katibu mkuu na pia mshahara anaolipwa kupitia nafasi yake ndani CCBRT ameuona haumtoshi ila mpaka anataka na wa Uraisi?
Usichanganye huduma za jamii CCBRT ma siasa!uliza mshahara wote huo kikwete kaifanyia nini tanzania?gas kg15 kutoka sh 18000 mwaka 2005 mpaka sh 54000 sasaSasa napata picha ni kwanini Slaa anahangaika kuwa Raisi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pesa anayolipwa ndani ya chama kama katibu mkuu na pia mshahara anaolipwa kupitia nafasi yake ndani CCBRT ameuona haumtoshi ila mpaka anataka na wa Uraisi?
Zito tangu wenzake wamtenge kwenye chama chao kaamua kuwa na siasa za ukatuna ambazo huwa hazina hoja bali huchekesha na kufurahisha ndiko aliko zito kwa sasa.
ni muhimu kujua kwani sie ni waajir wake, hivi huna kazi nyingne ya kufanya?Sijajua mantiki yake kwa hiyo ushauri wake anataka tufanye nini naona ameamua kuchagua siasa za nama ile.
Raisi analipwa kiasi cha millioni 384 sawasawa na shilingi milioni 32 kwa mwezi. By zitto.
Kamanda raisi wako anafanya tour ya vision for Tanzania na josephine ameshamtangaza yeye ndie raisi ajaye.cjaelekwa lengo la thread yako.usema mshahara wa rais ghafla unamrukia Dr.Slaa.btw unaweza kunipa ushahidi usio na shaka kuwa Dr.Slaa anautaka urais
Raisi analipwa kiasi cha millioni 384 sawasawa na shilingi milioni 32 kwa mwezi. By zitto.
Mkuu Chamviga,
Je, takwimu hii ya mshahara wa raisi wa JMT ni sahihi kwa kiasi gani?
Je, mshahara huu unajumisha posho na marupurupu yote anayolipwa Mh Raisi?
Je, mshahara huu ni kabla ama baada ya makato ya kodi? ama mshahara huu hautozwi kodi?
Kimsingi mshahara huu wa Raisi kwa muktadha wowote ni kiwango kikubwa sana cha pesa kwa mwezi, bila shaka ni eneo lingine la kutazamwa kisheria wakati tunaendelea na mchakato wa katiba mpya.
Mkuu Chamviga,
Je, takwimu hii ya mshahara wa raisi wa JMT ni sahihi kwa kiasi gani?
Je, mshahara huu unajumisha posho na marupurupu yote anayolipwa Mh Raisi?
Je, mshahara huu ni kabla ama baada ya makato ya kodi? ama mshahara huu hautozwi kodi?
Kimsingi mshahara huu wa Raisi kwa muktadha wowote ni kiwango kikubwa sana cha pesa kwa mwezi, bila shaka ni eneo lingine la kutazamwa kisheria wakati tunaendelea na mchakato wa katiba mpya.
Mkuu in maana siku zote hujui kwa nini babu halali?Mkuu Chris Lukosi sijui hilo swali linanihusu?
Kwa hiyo ulitaka tufanyeje?