Humu naona watu wanarushiana tu majigambo, watanzania wote hawapo JF, wapiga kura hawapo mitandaoni peke yake, afu watanzania ndo wanajua ukweli, huwezi kuwaaminisha watu kuwa hakuna kitu wakati wanaona, hapa kwenye nyuzi mnajazana tu matumaini, nyuzi za kutambiana zimekuwa nyingi, jitahidini kupunguza ushabiki, japo kuongea ni haki ya kila mtu pasipo kuvunja sheria.
Mgombea urais chadema anaamini issue yake ya kupigwa risasi basi anauwezo wa kubeba nchi tayari, watanzania hawapo hivyo, mshaurini mapema abadili upepo maana si muda watu watamuona anatamaa tu ya madaraka na mihemko, wakati JPM atakaposimama jukwaani kusema kajenga barabara madaraja zahanati na kadhalika sijui hao wengine watasema nini. Watanzania hawahitaji porojo za kuseti watu upate kiki
Mgombea urais chadema anaamini issue yake ya kupigwa risasi basi anauwezo wa kubeba nchi tayari, watanzania hawapo hivyo, mshaurini mapema abadili upepo maana si muda watu watamuona anatamaa tu ya madaraka na mihemko, wakati JPM atakaposimama jukwaani kusema kajenga barabara madaraja zahanati na kadhalika sijui hao wengine watasema nini. Watanzania hawahitaji porojo za kuseti watu upate kiki