Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mgombea atakuwa mmoja ACT NA CHADEMA
Nani kakuuliza?Hata waungane Magufuli ndio Rais mpaka 2025
Jipe moyoKuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.Exclusive: Mgombea atakua mmoja ACT NA CHADEMA | ZEC wanataka Askari wap... Exclusive: Mgombea atakua mmoja ACT NA CHADEMA | ZEC wanataka Askari wapige kura siku moja kabla via YouTube
Awamu ya pili ndipo utawala huu wa mkono wa chuma utatamalaki zaidi, JPM na CCM yake sasa basi. Mitano ya Utawala wa Imla Yatosha.Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Hivi kweli huwa mnapokea maagizo kutoka juu ?Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.
Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!
Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!
Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?
Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,
#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Tuwatakie heri. Ila watakiwa wawe makini sana wakati wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Hiyo ndiyo kete pekee ya kujihakikishia ushindi.Sawa!
Naamini kabisa cdm na ACt wakiungana ccm lazima ichomoke...!!
Sisi maafande hatutaki kutumiwa kisiasa Tunataka haki na kazi yetu Ni kuwalinda wananchi si kuwaumiza wananchiHatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.
Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!
Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!
Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?
Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,
#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Bora uambie ukweli, na ukweli Ndio huu, Kama 2015 ilishindikana watasubiri sana, upinzani wa kweli wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko bado sana, hawajui Wanataka nn, wao kazi yao ni kupinga tu liwe zuri kwao ni baya liwe baya kwao ni zuri, kumbukumbu zangu za nyuma zinanionesha upinzani haujui unasimamia nn hasa, mlengo wao ni upi?Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Umewahi pokea karipio? Usiwasemee watumishi wengine.Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.
Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!
Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!
Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?
Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,
#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Sawa!
Naamini kabisa cdm na ACt wakiungana ccm lazima ichomoke...!!
Mkuu hunijui, sikujui, nina barua zaidi ya 3 kila mwaka za maonyo toka 2015,(pengine idara yenu mnaita karipio)na tupo wakaguzi na maafisa zaidi ya watano wenye maonyo haya haya, so sijajua umelenga nini kwenye swali lako, funguka "mtumishi"Umewahi pokea karipio? Usiwasemee watumishi wengine.