Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Exclusive: Mgombea atakua mmoja ACT NA CHADEMA | ZEC wanataka Askari wap... Exclusive: Mgombea atakua mmoja ACT NA CHADEMA | ZEC wanataka Askari wapige kura siku moja kabla via YouTube
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
 
Kwa asilimia 100 nilishaamini kuwa CCM tutaing'oa 2015 lakin haikuwa ivyo, MKAPA akafanya yake magu akapita. Sina hakika kwa msimu huu kama tutachukua kiti..

Hii nchi ilibidi iwe na vyama viwili tu vyenye nguvu na ushawishi kama ilivyo USA lakin sio kwa style hii vyama viingi kama ikulu kuna biashara. DRC kipindi ile kulikuwa na vyAma zaidi ya 40's vya kisiasA.
 
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Hivi kweli huwa mnapokea maagizo kutoka juu ?
 
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Sisi maafande hatutaki kutumiwa kisiasa Tunataka haki na kazi yetu Ni kuwalinda wananchi si kuwaumiza wananchi
 
Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Bora uambie ukweli, na ukweli Ndio huu, Kama 2015 ilishindikana watasubiri sana, upinzani wa kweli wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko bado sana, hawajui Wanataka nn, wao kazi yao ni kupinga tu liwe zuri kwao ni baya liwe baya kwao ni zuri, kumbukumbu zangu za nyuma zinanionesha upinzani haujui unasimamia nn hasa, mlengo wao ni upi?
 
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Umewahi pokea karipio? Usiwasemee watumishi wengine.
 
Sawa!
Naamini kabisa cdm na ACt wakiungana ccm lazima ichomoke...!!

Wakijitahidi watafikisha milioni moja sasa muungano wao unasaidia nini? Hata wakiungana wote bado hakuna kitu.

Miaka.yote mnaangukiapua bado hamjifunzi?

Kipindi cha lowasa kama mlishindwa hivi leo mtashinda kweli?

Subilini kampeni zianze ndo utajua chama dume, wanapiga kona zote za, naishia hapo.

Mkipenda mjijibu wenyewe.

Huyo Lissu maneno yatamuishia mdomoni.

Mtaanza matusi tu.
 
Back
Top Bottom