Zitto, Lukuvi wavutana Bungeni: Zitto adai 25% ya bomba la gesi inaweza kuzalisha umeme wote wa Stiegler's Gorge

Zito Kabwe siyo intelligent man, na anajifanya much know lkn ni mtupu kuliko hata hata hewa!

Ndiyo Gas inaweza kuzalisha hata MW 10 000 lkn kwa gharama gani? Na hiyo fedha nani atalipia, tutaitoa wapi?

Watu wanatumia umeme wa Maji kwa sababu is the cheapest available option kulingana na mazingira yetu, this guy sucks, man!
Mkuu alizoea zamani ukipigapiga porojo kama hizo unashikwa mkono mambo yaishe, lakini Ngosha hataki kusikia huo ujinga kwenye pesa ya serikali.
Yaani ndio chanzo cha kukomaa, ili kujaribu kama zama zitarudi. Lakini sio kwa Ngosha anakaba mpaka pebati.
 
Mkuu alizoea zamani ukipigapiga porojo kama hizo unashikwa mkono mambo yaishe, lakini Ngosha hataki kusikia huo ujinga kwenye pesa ya serikali.
Yaani ndio chanzo cha kukomaa, ili kujaribu kama zama zitarudi. Lakini sio kwa Ngosha anakaba mpaka pebati.
Naona kuna ukweli hapo mkuu
 
Zito Kabwe siyo intelligent man, na anajifanya much know lkn ni mtupu kuliko hata hata hewa!

Ndiyo Gas inaweza kuzalisha hata MW 10 000 lkn kwa gharama gani? Na hiyo fedha nani atalipia, tutaitoa wapi?

Watu wanatumia umeme wa Maji kwa sababu is the cheapest available option kulingana na mazingira yetu, this guy sucks, man!
Mambo mengine ungekuwa unakaa kimya tu kuliko kulazimisha uongo kuwa ukweli

Kwahiyo kipindi mnazindua mradi wa bomba la gesi kwa mbwembwe na mkasema mnaenda kuzalisha umeme wa gesi hamkujua una gharama kuliko kutumia mabwawa??? Kma mlijua una gharama kubwa kwanni mlianza mradi wa kufua umeme wa gesi if at all gharama zake hamziwezi??

Hii nchi bhna unafki utatuua
 
Awamu hii hakuna kiongozi wa upinzani atapewa fedha kama Rushwa ili apoe. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma hawa viongozi walikuwa wakitayarishiwa fungu la fedha wakati wa bajeti. Zitto Kabwe ni mmoja wapo wa wanasiasa waliokuwa wamejilikimbizia mali nyingi kufikia hatua ya kuwa anaamua ku finance wagombea ubunge wa kutoka Kigoma.
Bowie kunywa Soda hapo.
Watu wengi sana hawajui hii siri, ndio mchezo uliokuwepo sasa mzee mzima anadhani awamu ya 5 nao watafanya huo ujinga.
Yaani mpaka sauti zitakauka lakini hamna pesa itakayotolewa kwa siri au kwa dhahiri.
 
Zito ni lobist wa iptl na makampuni ya kibiashara. Kama serikali haitaelewa hilo haka kajamaa katarudisha sana nyuma naendelea ya nchi hii.
Ni mjinga tu atabishana na huyu mpiga debe wa wafanya biashara.
 
Wewe hujui hata unaongea nini,
Hii Gesi tuliahidiwa na Serikali kua itakua ndio cheapest na reliable kuliko hata Maji,
Wewe umesahau Augments walizotumia Serikali ili kuharakisha Umeme wa Gesi that time,
Leo mnakuja mnageuka, ina maana Gesi mlilazimisha tu ili mpige cha juu lakini haikua Cheapest na reliable kama mlivyotudanganya that time
Unaumizwa kichwa kujibizana na Lumumba FC,wanalipwa kwa ajili ya kuitetea serikali humu jamvini,wanajua kwamba wapo wrong sema ndio hivyo ndio ajira sasa wafanyaje.
 
pro CCM kwa kujitoa akili hawajambo! zitto hajasema kuwa mradi usijengwe bali kauliza unawezaje kutengea mradi fedha tshs 700 billion ktk mwaka wa fedha ujao wa 2018/2019 huku hata environmental impact assessment haijafanyika? sababu maji yanayotakiwa kutumiwa ktk mradi kuna asilimia kubwa ya watu hutumia ktk matumizi ya shughuli za kibinadam
 
Tatizo la Zitto ni kushangiliwa. Miaka yote namuweka kama wale vijana wanaocheza mpira shule za msingi na akisha shangiliwa, anajirusha hadi kuumizwa. Ni mtu asiyehusika na mambo ya energy na hata sidhani kama anafahamu investment requirements za gas vs hydro kwa equivalent output.

Alichojaliwa ni sauti isiyohitaji microphone na kwa baadhi yetu wakisikia kelele, wanaamini ndo point. Rubbish!

ukitulia ukakusanya data na kulifuatilia suala husika kiundani unaweza kuwa na majibu mazuri tu na sio lazima uwe umekaa darasani na kusomea degree ya field husika.. kujua advantage za Gas plant vs hydro plant hakuhitaji kusomea degree ya hivyo vitu bali kunahitaji muda na research ya kutosha..
 
study ya mwisho ilipofanyika mwaka 1978 maji ya mto ruaha mkuu yamepungua kwa 46%, hapo ni kutokana na shughuli za kijamii tu kama kilimo na ufugaji lakini msomi lukuvi anakwambia mradi huo wa kuzalisha umeme hautapunguza maji hata kidogo
 
Zito Kabwe siyo intelligent man, na anajifanya much know lkn ni mtupu kuliko hata hata hewa!

Ndiyo Gas inaweza kuzalisha hata MW 10 000 lkn kwa gharama gani? Na hiyo fedha nani atalipia, tutaitoa wapi?

Watu wanatumia umeme wa Maji kwa sababu is the cheapest available option kulingana na mazingira yetu, this guy sucks, man!
Acha kuupa umaskini first priority kwenye maendeleo utakuwa maskini kila siku
 
Zito Kabwe siyo intelligent man, na anajifanya much know lkn ni mtupu kuliko hata hata hewa!



Ndiyo Gas inaweza kuzalisha hata MW 10 000 lkn kwa gharama gani? Na hiyo fedha nani atalipia, tutaitoa wapi?

Watu wanatumia umeme wa Maji kwa sababu is the cheapest available option kulingana na mazingira yetu, this guy sucks, man!
Wewe ndio mtupu kweli, gas ipo tayari inazalishwa, kujenga bwawa la umeme otagharimu kiasi gani, waulize Ethiopia
 
Zito Kabwe siyo intelligent man, na anajifanya much know lkn ni mtupu kuliko hata hata hewa!

Ndiyo Gas inaweza kuzalisha hata MW 10 000 lkn kwa gharama gani? Na hiyo fedha nani atalipia, tutaitoa wapi?

Watu wanatumia umeme wa Maji kwa sababu is the cheapest available option kulingana na mazingira yetu, this guy sucks, man!
Cheapest but not sustainable,wapi mtera wapi kidatu
 
Zito ni lobist wa iptl na makampuni ya kibiashara. Kama serikali haitaelewa hilo haka kajamaa katarudisha sana nyuma naendelea ya nchi hii.
Ni mjinga tu atabishana na huyu mpiga debe wa wafanya biashara.
Sasa IPTL inaingia wapi kwenye mradi wa umeme wa gesi ?? Kwanni kila anayekosoa mnasema anatumika na makampuni ilihali serikali ndio pekee ambao wamewahi kuingia mikataba mibovu ya kifisadi na hayo hayo makampuni kwanni msiwaogope watendaji wenu kutumika ila mnaogopa wakosoaji wasio na decision making kwenye serikali??

Pathetic
 
Bowie kunywa Soda hapo.
Watu wengi sana hawajui hii siri, ndio mchezo uliokuwepo sasa mzee mzima anadhani awamu ya 5 nao watafanya huo ujinga.
Yaani mpaka sauti zitakauka lakini hamna pesa itakayotolewa kwa siri au kwa dhahiri.
Mbona kuna kashfa ya CCM kupitia majaliwa kugawa million 10 kwa kila mbunge wa CCM ili mpitishe muswada wa huduma za habari ambayo mpaka leo sio tu mlishindwa kukanusha ila hamkutaka hta mbowe athibitishe!!

Rushwa zipo palepale mkuu CCM ni ile ile hta madiwani mbona wengi tu wa upinzani mmewahonga rejea kisa cha meya wa iringa manispaa na diwani wa kakonko waliokataa pesa zenu

Acheni unafki kila mnapobanwa mnatafuta sababu za kutokea
 
Umeme wa maji ndiyo umeme rahisi kuliko yote Duniani, hakuna substitute ya umeme wa Maji asikudanganye mtu!
Umeme wa upepo ndo cheapest, yan hujui vitu vya form 3 unataka ujib hoja za mtu aliyebarikiwa akil ma uelewa wa haraka zitto zuber kabwe
 
Wewe hujui hata unaongea nini,
Hii Gesi tuliahidiwa na Serikali kua itakua ndio cheapest na reliable kuliko hata Maji,
Wewe umesahau Augments walizotumia Serikali ili kuharakisha Umeme wa Gesi that time,
Leo mnakuja mnageuka, ina maana Gesi mlilazimisha tu ili mpige cha juu lakini haikua Cheapest na reliable kama mlivyotudanganya that time
Mkuu kwenye visima vya gesi waliweka maginiziam. Kwa hiyo gesi haitoki siku hizi ndo maana wanataka wakatumie maji :oops: :oops: :oops: :oops:
 
Back
Top Bottom