JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 526
- 583
Mh. Naibu katibu mkuu wa CHADEMA taifa, Zitto Z Kabwe atautikisa mji wa Tabora na viunga vyake hii leo kwa kufungua matawi ya chama katika kila Kata ya Mji huo.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mh. Zitto aliwajulisha wananchi wa Tabora mjini wajiandae kupokea ujio huo mzito wenye malengo ya kuiokoa Tabora.
Wale wenye taarifa zaidi , hasa mlioko tabora mtujuze zaidi ratiba nzima ikoje.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mh. Zitto aliwajulisha wananchi wa Tabora mjini wajiandae kupokea ujio huo mzito wenye malengo ya kuiokoa Tabora.
Wale wenye taarifa zaidi , hasa mlioko tabora mtujuze zaidi ratiba nzima ikoje.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.