Zitto kurudi Bungeni ni ndoto!

Zitto kurudi Bungeni ni ndoto!

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Kwa hali halisi tuliyoiona Kigoma Jimboni kwa Zitto Kabwe kuna kila dalili huyu kiongozi akaukosa Ubunge mwaka huu.

Tumetembea sehemu mbalimbali na tukafanya mazungumzo na wananchi wengi kuna kila dalili Zitto akashindwa kurudi bungeni.Wananchi wengi wanashangaa Zitto kutokuwa na muda wa kufanya kazi jimboni na kujihusisha zaidi na mambo ya kitaifa huku akisahau wananchi waliomchagua.

Wengine wanadai ni kwanini awe msaliti wa chama kilichomjenga na wanaonyesha dhahiri wanaichukia CCM ambayo Mbunge huyo anashutumiwa kutumiwa ili kuharibu harakati za mabadiliko.

Kwa kweli Zitto ana kazi kubwa sana kwani hawa wana Kigoma wanaonekana wameamka na wanajitambua kwelikweli!
 
Acha kubwabwaja sijui umezunguka kigoma ya wapii. Muulize mbowe na lowassa walipouliza mbunge wenu nani watu wa kigoma mjini walijibu nini. Unaropoka tu kujifariji
 
Zitto hawezi kurudi bungeni mimi nakataa hata kama wapambe wake wanasema ametenga milioni mia tano ya kuhakikisha anashinda . Ukweli ni kwamba hawezi kushinda zitto huo ndio ukweli
 
Kurudi kwa Zitto Bungeni ni sawa na ilivyo vigumu kutembea kutoka hapa Kigoma hadi Dodoma Bungeni.
 
Kwa hali halisi tuliyoiona Kigoma Jimboni kwa Zitto Kabwe kuna kila dalili huyu kiongozi akaukosa Ubunge mwaka huu,tumetembea sehemu mbalimbali na tukafanya mazungumzo na wananchi wengi kuna kila dalili Zitto akashindwa kurudi bungeni,wananchi wengi wanashangaa Zitto kutokuwa na muda wa kufanya kazi jimboni na kujihusisha zaidi na mambo ya kitaifa huku akisahau wananchi waliomchagua,wengine wanadai ni kwa nini awe msaliti wa chama kilichomjenga na wanaonyesha dhairi wanaichukia ccm ambayo Mbunge huyo anashutumiwa kutumiwa ili kuharibu harakati za mabadiliko,kwa kweli Zitto ana kazi kubwa sana kwani hawa wana Kigoma wanaonekana wameamka na wanajitambua kwelikweli!

Shiìi , kimya tafadhali. Lakini mara yamwisho si alikuwa mbunge wa viti maalum Mahakama.
 
Nyie mnaota mchana kweupee,zitto ndio mfalme wetu kigoma ,our icon, zitto si tu kama ameleta maendeleo bali ametupa heshima kubwa sana Mkoa Wa kigoma,hata akipofuka macho lkn Bungeni ni lazima arudi,hlf siasa za wanakigoma mtuachie sisi mwenyewe,sisi hatupelekwi pelekwi kama Nyumbu, sisi kigoma siku zote huwa tunajua nn tunataka na yupi anatufaa,poleni sana nyumbu nyie angaikeni na Dr slaa sasa HV ila zitto mumuache kama alivyo
 
Huyo asahau ubunge kabisa atakuwa mbunge wa kwenye TV.
 
Kwa hali halisi tuliyoiona Kigoma Jimboni kwa Zitto Kabwe kuna kila dalili huyu kiongozi akaukosa Ubunge mwaka huu,tumetembea sehemu mbalimbali na tukafanya mazungumzo na wananchi wengi kuna kila dalili Zitto akashindwa kurudi bungeni,wananchi wengi wanashangaa Zitto kutokuwa na muda wa kufanya kazi jimboni na kujihusisha zaidi na mambo ya kitaifa huku akisahau wananchi waliomchagua,wengine wanadai ni kwa nini awe msaliti wa chama kilichomjenga na wanaonyesha dhairi wanaichukia ccm ambayo Mbunge huyo anashutumiwa kutumiwa ili kuharibu harakati za mabadiliko,kwa kweli Zitto ana kazi kubwa sana kwani hawa wana Kigoma wanaonekana wameamka na wanajitambua kwelikweli!

Uongo wako hautakusaidia kitu humu JamiiForums, usifikiri watu wote humu ni wapumbavu kama wewe! Unasema mmetembea sehemu mbalimbali kufanya mazungumzo na wananchi hebu tutajie kwa majina hizo sehemu mbalimbali?
 
Asiposhinda Zitto atashinda nan, mi siwaelewi mnabwa bwaja tu apa ooooh harud hatud haya nan atashinda? Kaburu au? make naona ccm na cdm mnajificha kwenye kichaka kimoja ila kwel wote mafisad!
 
Kwa hali halisi tuliyoiona Kigoma Jimboni kwa Zitto Kabwe kuna kila dalili huyu kiongozi akaukosa Ubunge mwaka huu,tumetembea sehemu mbalimbali na tukafanya mazungumzo na wananchi wengi kuna kila dalili Zitto akashindwa kurudi bungeni,wananchi wengi wanashangaa Zitto kutokuwa na muda wa kufanya kazi jimboni na kujihusisha zaidi na mambo ya kitaifa huku akisahau wananchi waliomchagua,wengine wanadai ni kwa nini awe msaliti wa chama kilichomjenga na wanaonyesha dhairi wanaichukia ccm ambayo Mbunge huyo anashutumiwa kutumiwa ili kuharibu harakati za mabadiliko,kwa kweli Zitto ana kazi kubwa sana kwani hawa wana Kigoma wanaonekana wameamka na wanajitambua kwelikweli!

Wanomwita Zitto msalita ni eidha hawajitambui au wanajitoa ufaham
 

Attachments

  • 1441431920167.jpg
    1441431920167.jpg
    64.7 KB · Views: 566
Kila zama na kitabu chake.
Zama za Zitto na Dr Slaa zinapita japo ni kwa kasi sana.

Amka ewe uliyelala usingizini,,, unatupigia kelele na
mindoto yako ya kuweweseka
 
October kesho kutwa tu so tujipe muda au wewe una kura ya turufu hilo jimbo?
 
Nyie mnaota mchana kweupee,zitto ndio mfalme wetu kigoma ,our icon, zitto si tu kama ameleta maendeleo bali ametupa heshima kubwa sana Mkoa Wa kigoma,hata akipofuka macho lkn Bungeni ni lazima arudi,hlf siasa za wanakigoma mtuachie sisi mwenyewe,sisi hatupelekwi pelekwi kama Nyumbu, sisi kigoma siku zote huwa tunajua nn tunataka na yupi anatufaa,poleni sana nyumbu nyie angaikeni na Dr slaa sasa HV ila zitto mumuache kama alivyo
waambie kuwa waliona pale ambapo KAFULILA alisema habari kuhusu zzk kilichomkuta, atahadithia mwenyewe.
 
Nyie mnaota mchana kweupee,zitto ndio mfalme wetu kigoma ,our icon, zitto si tu kama ameleta maendeleo bali ametupa heshima kubwa sana Mkoa Wa kigoma,hata akipofuka macho lkn Bungeni ni lazima arudi,hlf siasa za wanakigoma mtuachie sisi mwenyewe,sisi hatupelekwi pelekwi kama Nyumbu, sisi kigoma siku zote huwa tunajua nn tunataka na yupi anatufaa,poleni sana nyumbu nyie angaikeni na Dr slaa sasa HV ila zitto mumuache kama alivyo

Umepaniki mkuu... zitto ameleta maendeleo kigoma kwa fedha zake za mfukoni? Maendeleo yameletwa na serikali. Pia Acha ubaguzi wa kimkoa kusema siasa za kigoma waachiwe wakigoma wenyewe. Halafu mtoa hoja hakuna sehemu amemtaja Dr slaa ni wewe tu umekurupuka.
 
Wananchi wa kigoma mjini msaidie kijana wenu kutimiza ahadi yake ya kwenda kushika chaki Kwani yeye mwenyewe hawezi kusimamia ahadi zake
 
Umepaniki mkuu... zitto ameleta maendeleo kigoma kwa fedha zake za mfukoni? Maendeleo yameletwa na serikali. Pia Acha ubaguzi wa kimkoa kusema siasa za kigoma waachiwe wakigoma wenyewe. Halafu mtoa hoja hakuna sehemu amemtaja Dr slaa ni wewe tu umekurupuka.


Mbona sasa HV mkisikia tu jina la Dr slaa matumbo yanachemka? Nilichokuwa nataka kueleza ni kuwa hakuna Wa kumzuia zitto kwenda Bungeni,uliza Jana kilichomkuta kafulila baada ya kumponda zitto jukwaani,poleni sana nyumbu Dr slaa ni kinyago mlichokichonga nyie mwenyewe lkn Leo hii kinawatisha nyie mwenyewe
 
Back
Top Bottom